Elections 2010 Voters registration

AljuniorTz

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2009
Posts
544
Reaction score
18
Wadau katika pitapita zangu ktk mtandao wa tume ya uchaguzi, nimkutana na kitu hiki hapa chini: -

http://www.nec.go.tz/?modules=registration⊂

MTAZAMO WANGU

1: Kwa nini hadi sasa siku 27 kabla ya uchaguzi hawaja-update ktk database idadi ya wapiga kura kwa mikoa yote? au ndio maadalizi ya uchakachuaji?

2: Kwa nini idadi ya wapiga kura znz ni 15,540 ktk kipindi cha 2007/2008; ina maana waliopiga kura za urais na wabunge 2005 walikuwa ndio idadi hiyo au ?

Mchango wenu ktk hili unakaribishwa.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…