Vouda Mlijua Mkinitaja Majina yote Kuniwishi Birthday ndio Ntalipa Deni. Thubutu na Mkome Na Bado Mpawa Silipi

Vouda Mlijua Mkinitaja Majina yote Kuniwishi Birthday ndio Ntalipa Deni. Thubutu na Mkome Na Bado Mpawa Silipi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hahahaaa mwenzenu si nikatajwa Kwa midoido yote na vouda kujipendekeza huko wakajibetua Kuniwishi Birthday eti Fulani bini Mwanzenzele Rugaimukamu we wish you a happy birthday ndio ntahamaki nijitwishe niwalipe deni lao. Mmenitesa sana makato ya Tozo za simbanking za muamala na uhuni wa vifurushi. Nawataka? thubutu!!

Hata mkinipa offer za sms, dakika, mbs naendelea kuwakomoa tu nabaki na huduma moja tu Emupesali basi.

Niacheni nifidie maumivu ntawasamehe next year kipindi Cha masika nikienda porini.

Maana kule porini ntakuwa mbali na network za the mighty eateili.


Tujuane ni mimi tu nnaewalipa kisasi na kuwakomoa vouda leteni visa vyenu na mitandao na wale mliovunja line kisa Mpauwaaa

Wadiz am out see you Kwa comments.
 
Kama kichwa Cha habari kilivyo, mi hasira zangu za Tozo za miamala nalipizia kisasi Kwa Kutolipa Madeni ya mitandao ya simu, wengine kinafiki wametumia njia za ushawahi kwa kujifanya wananijua sana eti wamenitaja kwa majina yangu yote Kuniwishi Birthday eti fulani bini Fulani Rugaimukamu wakajua mimi ntajizuzua wapi ndio kwanza nawakazia mazima. Wakome naendelea na mkomoo wangu.

Sina upuuzi lazima niendelee kufidia, hata wanipe free sms, mbs, dakika nawakomoa tu.

Watasubiri sana hadi niende huko porini madongo kuinama huko ambalo hawana mpinzani ndio ntarejea tena Kwa kuwahurumia tu basi.

Tujuane tuonalipiza Kwa kukomoa hawa matozo Tozo

Wadiz am out
 
Back
Top Bottom