Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hahahaaa mwenzenu si nikatajwa Kwa midoido yote na vouda kujipendekeza huko wakajibetua Kuniwishi Birthday eti Fulani bini Mwanzenzele Rugaimukamu we wish you a happy birthday ndio ntahamaki nijitwishe niwalipe deni lao. Mmenitesa sana makato ya Tozo za simbanking za muamala na uhuni wa vifurushi. Nawataka? thubutu!!
Hata mkinipa offer za sms, dakika, mbs naendelea kuwakomoa tu nabaki na huduma moja tu Emupesali basi.
Niacheni nifidie maumivu ntawasamehe next year kipindi Cha masika nikienda porini.
Maana kule porini ntakuwa mbali na network za the mighty eateili.
Tujuane ni mimi tu nnaewalipa kisasi na kuwakomoa vouda leteni visa vyenu na mitandao na wale mliovunja line kisa Mpauwaaa
Wadiz am out see you Kwa comments.
Hata mkinipa offer za sms, dakika, mbs naendelea kuwakomoa tu nabaki na huduma moja tu Emupesali basi.
Niacheni nifidie maumivu ntawasamehe next year kipindi Cha masika nikienda porini.
Maana kule porini ntakuwa mbali na network za the mighty eateili.
Tujuane ni mimi tu nnaewalipa kisasi na kuwakomoa vouda leteni visa vyenu na mitandao na wale mliovunja line kisa Mpauwaaa
Wadiz am out see you Kwa comments.