wanasema eti kiwanja kibovu.....utadhani pori lao la kule bunju ni zuri kuliko hiki kiwanja.....
Sisi tuna eneo la ardhi wewe una bwawa kwani unashiriki mashindano ya kuogelea mtani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanasema eti kiwanja kibovu.....utadhani pori lao la kule bunju ni zuri kuliko hiki kiwanja.....
Wako uwanjani na Mbeya City bila bila dk ya 10.Binamu zao lambwalambwa vipi?
niliwaona wahuni pale mlipo muondoa Blagnon mkamuacha Mavugo....
Timu yangu inanikatsha tamaa sina raha kabsaa leo
Sisi tuna eneo la ardhi wewe una bwawa kwani unashiriki mashindano ya kuogelea mtani?
kumbe game bado inaendelea .....?Acha upotoshaji wewe! Game bado inaendelea
live 219': Mtibwa sugar 0:0 Simba
Tangu mara ya mwisho anafunga.....Mavugoaaal nasikia kapiga hat trick leo anawakimbilia akina Tambwe na Msuva kwa kushuka chini
Mkuu usiwe unapenda kufuata mkumbo sana...Unapo sikia Manara anawahakikishia mashabiki wa simba kuwa msimu huu ni lazima wawe mabingwa ujue ni danganya toto tu..Timu yangu inanikatsha tamaa sina raha kabsaa leo
Huyo hapo juuu!Wataanza kutafuta mchawi hawa
Ha ha ha simba wapole sana. Mji umetulia tuliiiii in lowasa's voice. Difference ya point 2 tuWadau wa Msimbazi vipi tena..... mbona kimya??
====
Mpira ni mapumziko; Mtibwa 0, Simba 0
Kipindi cha pili mpira bado ni bila kwa bila
Mpira umekwisha; Mtibwa 0, Simba 0
aisee huyu aliyeandika sio mtu mzuri kabisa yaani.........
akija unistue nna ujumbe wake toka kwa manyaraMtani wangu Sembo naona upo eneo Korofi.