VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

Kama sikosei ni tarehe 18 mwezi huu, Mikia fc wametoa ahadi kuwa watatushangilia maana yana visa na wale jamaa

hatuwataki watuachie kitoweo chetu kama kilivyo jilengesha...wambie wakanunue tu jezi za hao majambazi..alie wadhurumu ni maharage sio hao jamaa
 
Hizo sifa ndizo tunazowapendea ati..
Kwema lakini mito?

kwema nifah, naona yanga wanazidi kutupa raha

pole najua nimekukupusha toka jukwaa lako pendwa (kule kwenye ubuyu)
 
Last edited by a moderator:
Kipindi cha Dalali timu haikuwa na tatizo uwanjani, tatizo tu alikuwa ameishia la saba. Alimaliza kipindi chake cha uongozi ndo baadaye akaingia Rage.

Kumbe!! Atakuwa kashamaliza form four...mrudishen, sisi twafurahia magoli ya TAMBWE tu Leo...Chamanzi vp huko?
 
hivi kavumbagu anacheza leo kwa upande wa azam? maana naona mwenzake anazidi kupeta tu kwenye mbio Za kiatu cha dhahabu

Kavumbagu ana kadi tatu za njano hivyo leo hachezi...
 
Yanga 3 juma abdul

ukiangalia kwenye post yangu hiyo title nimeandika kwa wanaobet wampe Yanga ushindi na 3+, yametokea kweli. Ukitaka pia nikutabilie mechi za kubet leo ni PM nikutumie lakini kwa maelewano maalumu, nitakutoza buku 5 kwa mkeka wa mechi 6
 
Kumbe!! Atakuwa kashamaliza form four...mrudishen, sisi twafurahia magoli ya TAMBWE tu Leo...Chamanzi vp huko?
Mkuu mwaka wenu huu, maana kati ya mechi ngumu kwenu ilikuwa ni pamoja na hii lakini inavyoonekana imekuwa rahisi sana. Mkiwafunga na Azam basi ubingwa wenu.
 
Aisee...umenifurahsha! basi TAMBWE ana bahati, kaenda kuboresha kiwango chake kwny timu inayoshiriki kwny michuano ya kimataifa...ajabu ni kuwa waliomuona kiwango kidogo ni "wa hapa hapa"!

Na wa hapa hapa ndio tulio mtoa huko kwao kumleta hapa hapa lol
 
half time azam vs MCC bila bila
 
ukiangalia kwenye post yangu hiyo title nimeandika kwa wanaobet wampe Yanga ushindi na 3+, yametokea kweli. Ukitaka pia nikutabilie mechi za kubet leo ni PM nikutumie lakini kwa maelewano maalumu, nitakutoza buku 5 kwa mkeka wa mechi 6

Ahaahaa...kuliko kutoza buku 5..si ubet mwenyewe uchukue mzigo wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…