VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

Chamazi hapa sasa ni HT

Azam 0 - 0 MCC
 
Hao MCC wakitaka watufurahshe zaidi wapige hata kimoja tu..tuwape baraka za kutoshuka daraja.

Uwezekano wa Azam kufungwa upo...

MCC wametawala sana mchezo hasa katikati ya uwanja...
 
Uwezekano wa Azam kufungwa upo...

MCC wametawala sana mchezo hasa katikati ya uwanja...
Hawa wagonga nyundo wa jiji la Mbeya usiwape kiwanja kizuri wanakufanya vibaya, kama muongo uwaulize mikia fc walichofanyiwa uwanja wa taifa, pia mwaka jana hapo chamazi kidogo Azam agongwe lakini mpira ukaisha 3 -3
 
Toka lini ukaumia kwa mke uliye muacha, Simba hatukumuacha Tambwe ili huko kwingine asiende kufunga hapana tulimuacha akaboreshe kiwango chake.

Wewe hujawahi kuacha mke umpendaye, wivu uko pale pale. Ni marajio ya mume amwachaye mkewe aende huko akateseke, huyo mke akianza kufanikiwa lazima mume wa zamani itaanza kumuuma sana.

Simba iliingia chaka kumwacha Tambwe ikiamini kuwa Andunje (Dan Sserunkuma) angewatoa kimasomaso. Simba ikubali makosa.
 
Wewe hujawahi kuacha mke umpendaye, wivu uko pale pale. Ni marajio ya mume amwachaye mkewe aende huko akateseke, huyo mke akianza kufanikiwa lazima mume wa zamani itaanza kumuuma sana.

Simba iliingia chaka kumwacha Tambwe ikiamini kuwa Andunje (Dan Sserunkuma) angewatoa kimasomaso. Simba ikubali makosa.

Anamwacha wife material anaenda kuoa miandunje iliyokithiri kiburi isiyojua kupika wala kuoga, kiukweli mikia iliingia chaka. Nimepata tetesi leo kuwa wanataka kumrudisha kundini eti viongozi wanasema hawajui ni nani aliyetoa ushauri wa kumwacha Tambwe
 
kwema nifah, naona yanga wanazidi kutupa raha

pole najua nimekukupusha toka jukwaa lako pendwa (kule kwenye ubuyu)

Hahahaaa mito umenifurahisha sana kwenye hiyo aya ya pili.Ahsante sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom