kwani hapo kwenye nyekundu ungeandika kiswahili kingeharibika nn?Sioni namna Azam iambapitashinda leo. Huo ndio ukweli Simba ni bora sana hapa bongo, masuala ya Admin tu nje ya uwanja yanaleta usumbufu
AZAM 0- 3 SIMBA
kama masihara.
Sioni namna Azam iambapitashinda leo. Huo ndio ukweli Simba ni bora sana hapa bongo, masuala ya Admin tu nje ya uwanja yanaleta usumbufu
Hii mbaya, Mungu saidia tushinde
Simba 2 Azam 0