Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kanunuliwa shilingi ngapi? Ushahidi unao? Umeripoti takukuru au kwenye chombo chochote cha sheria?
Kama hauna na hujafanya hayo yote Basi HUNA TOFAUTI NA MWANAMKE MMBEYA TENA PASHKUNA LA HAJA
Tulia dawa ipenye mkuuKwa mwendo huu wakununua makipa,basi yanga bingwa.
Kwa mwendo huu wakununua makipa,basi yanga bingwa.
Kuna moto gani hapoMshaanza kuogopa moto sio.
Golikipa Shariff wa Mtibwa hana tofauti na Martin Saanya, kapigwa Pensheni na amefanya mbwai mbwai tu!
Kuna moto gani hapo
Golikipa Shariff wa Mtibwa hana tofauti na Martin Saanya, kapigwa Pensheni na amefanya mbwai mbwai tu!
Watanyooka tu...
Butua butua hizi ndio moto??Wewe huoni?
Yanga Anacheza na Mtibwa?
Pashkuna jingine hili la Msimbazi
Butua butua hizi ndio moto??
Mtibwa kaingiaje hapa mkuu??Golikipa Shariff wa Mtibwa hana tofauti na Martin Saanya, kapigwa Pensheni na amefanya mbwai mbwai tu!
Mmekutana Na vibondeHujaona walivyobutiwa nyavuni mpaka sasa tunaongoza 3?
Mtibwa kaingiaje hapa mkuu??
Mmekutana Na vibonde