Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kanunuliwa shilingi ngapi? Ushahidi unao? Umeripoti takukuru au kwenye chombo chochote cha sheria?
Kama hauna na hujafanya hayo yote Basi HUNA TOFAUTI NA MWANAMKE MMBEYA TENA PASHKUNA LA HAJA
Mkuu achana nao hawa Mbumbumbu fc hofu ishaanza kuwaingia,kushinda washinde wao akishinda Yanga kabebwa au kanunua match.