VPL : Kagera Sugar Vs Young Africans

VPL : Kagera Sugar Vs Young Africans

Yanga tunanunua sana mechi,sijui zamu ya nani inafuata ili tununue tena.
 
Hakuna wakumlaumu mwenzake Cassilas kala zake 3 na Burhani kala zake 3 nliona kuna mdau kakomenti Yanga imemnunua casilas na uyo Burhani Vp??
 
Ni aibu kwa Yanga kushangilia kuwafunga watu hawana pa kulala kwa mwezi mzima. Chakula hawana ukame. Hata kuoga yao shida. Ni Sawa na kumpiga mlemavu. Yanga hovyooo.
 
Full Time | Kagera Sugar 2 - 6 YoungAfricans

90' Mins | sasa, hakuna kipya, timu zinaonyesha kucheza zaidi katikati ya uwanja, Yanga wakiwa wameridhika huku Kagera wakionekana kuwa wamekata tamaa

87' Mins | mpira wa kurusha wa Twite, Tambwe anagonga kichwa lakini Babu Ally anaokoa

78' Mins |Matheo Anthony anaingia kuchukua nafasi ya Kaseke

77' Mins | Amissi Tambwe anaingia upande wa Yanga kuchukua nafasi ya Obey Chirwa

73' Mins | Ngoma anaifungia Yanga bao la sita, ameunganisha pasi ya MSuva baada ya kumzidi kasi Kavila

63' Mins | GOOOOOO Chirwa anafunga bao la tano kwa Yanga, la pili kwake baada ya Ngoma kuuwahi mpira wa Juma Ramadhani aliyemrudishia kipa, lakini kipa Burhani akaokoa, mpira ukamkuta Chirwa ambaye amemlamba chenga na kupachika wavuni kwa mguu wa kushoto safi kabisa

57' Mins | GOOOOOOO Kaseke anafunga bao kwa shuti kali kabisa akiunganisha pasi nzuri ya MSuva aliyegongeana vizuri na Niyonzima

56' Mins | beki Juma ramadhani anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira mzuri wa Niyonzima langoni mwake

55' Mins | krosi nzuri ya Niyonzima, Msuva akiwa katika nafasi nzuri lakini anashindwa kulenga. Beki wa kati wa Kagera wanaonekana kama kuzubaa hivi

54' Mins| Mbuyu Twite anaingia kuchukua nafasi ya Kessy ambaye ameumia

52' Mins | Kessy wa Yanga yuko chini akipatiwa matibabu, anatolewa nje

51' Mins | Msuva anagongeana vizuri na Niyonzima ambaye anapiga shuti kali lakini hakulenga lango

50' Mins | Msuva anaingia vizuri lakini badala ya krosi anajaribu kupiga shuti na mpira unatoka juuuu, goal kick

48' Mins | Mbaraka Yusuf anaunganisha pasi fupi ya Mangoma na kuifungia Kagera Sugar bao la pili katika mchezo wa leo. Huyu ndiye aliyefunga bao la kwanza

47' Mins | Ngoma anaingia vizuri lakini anageuka na kumpa pasi Niyonzima, lakini mpira wake unakuwa laini

46' Mins | Mpira umeanza taratibu Kagera wakigonga pasi nyingi fupifu

Second Half | Kagera Sugar 1 - 3 YoungAfricans

HALF TIME | Kagera Sugar 1 - 3 YoungAfricans

45' Mins | Yanga wanaonekana kuupoza mchezo na hawana haraka hata kidogo, wanagongeana taratibu kabisa hapa

40' Mins | Yanga wanagongeana vizuri, Mwinyi anapiga krosi tamu kabisa lakini Juma ramadhani anawahi kuokoa na kuwa kona. Inachongwa tena, haina manufaa

38' Mins | Dida anafanya kazi ya ziada, anatoka nje ya 18 na kuokoa mpira miguuni mwa Ally

37' Mins | Chirwa anaingia na kumdhibiti Juma Ramadhani, anatoa krosi safi kwa MSuva ambaye anapiga shuti, wanaokoa na kuwa kona. Inachongwa na Niyonzima lakini haina matun

35' Mins | Kessy analambwa kadi ya njano kwa kumchezea rafu Taita

33' Mins | Ngoma na Msuva wanagongeana vizuri na krosi safi lakini Burhani anaokoa vizuri kabisa

31' Mins | Kagera wanamuingiza Ali Ramadhani kuchukua nafasi Japhet Makaray, Pia wanamtoa kipa Casillas na nafasi yake inachukuliwa na David Burhani

30' Mins | Kagera wanaonekana kuwa wamepaniki sasa na wanakaba kibabe jambo ambalo linaweza kuwasumbua au kuwaponza kupata kadi

28' Mins | Yanga wanaonekana wanaendelea kushambulia kwa kasi zaidi wakiwapa Yanga

26' Mins | Gooooooal obrey chirwa anaipatia Yanga goli la Tatu

23' Mins | Selemani Mangoma wa Kagera analambwa kadi ya njano kwa kumuangusha Ngoma kwa makusudi
21' Mins | Niyonzima anageuka na kupiga shuti kali, Casillas anatema na Msuva anamalizia safi kabisa na kuiandikia Yanga bao la pili


15' Mins | Ufudu wa Kagera anafanya kosa hapa, anaingia Chirwa hatari lakini Juma Ramadhani anawahi na kuondosha hatari hiyo

14' Mins | mpira zaidi unachezwa katikati ua uwanja na inaonekana timu zina nafasi ya kugongeana kwa kuwa uwanja ni safi kabisa

9' Mins | Japhet Makalay anaingia vizuri baada ya kumtoka Kessy lakini krosi yake inaishia mikononi mwa Dida

8' Mins | Msuva anaingia tena, krosi safi kabisa hatariiii lakini Casillas anatokea na hudaka vizuri kabisa

6' Mins| Mangoma wa Kagera anaingia vizuri anaachia shuti kali kabisa lakini ni goal ki

5' Mins | GOOOOOOOO Ngoma anaifungia Yanga bao la kusawazisha baada ya kufunga kwa kichwa akiunganisha krosi safi ya Simon Msuva

3' Mins | GOOOOOOOOOO Mbaraka Yusuf anamtoka Yondani na kuachia mkwaju mkali unaomngonga Dante na kumpoteza maboya kipa Dida na unajaa wavuni

1' Mins | Yanga wanaonekana kuanza kwa kasi kama wamepanga kupata bao la mapema ikiwezekana kumaliza kazi mchezo



Kikosi cha Yanga SC leo dhidi ya Kagera Sugar

1. Deogratius Munishi
2. Hassani Kessy
3. Mwinyi Haji
4. Andrew Vicent
5. Kelvin Yondani
6. Thabani Kamusoko
7. Saimoni Msuva
8. Haruna Niyonzima
9. Donald Ngoma
10. Obrey Chirwa
11. Deusi Kaseke

Akiba
- Beno Kakolanya
- Oscar Joshua
- Vicent Bossou
- Mbuyu Twite
- Geofrey Mwashuiya

- Mateo Antony

Credit: Saleh Jembe Blog

Kwa Kipa mla ' mlungula ' maarufu Hussein Shariff a.k.a Casillas ningeshangaa sana leo Yanga kama isingeshinda magoli kuanzia 3 na hata hadi 10 na nimeshangaa kuona Yanga imewafunga hawa Kagera Goli chache hizo 6 tu. Kwa kuanzia kabla sijamjadili hapa Kipa Shariff ambao Binafsi ni ' Mshkaji ' na huwa tunakumbana sana katika ' Mabonanza ' Leaders na huwa tunaonana mno Mitaa ya Magomeni katika ' Ndondo ' ambazo huwa anacheza sana na kule Kwake ' Kigamboni ' pia huwa tunakutana sana tu.

Jiulizeni ni kwanini Simba Sports Club ilimuacha na ni kwanini alipogundulika tu amechukua ' Mlungula ' katika mechi baina ya Timu moja ' Tajiri ' ila kwa sasa inasuasua kwa kufungwa magoli tena ya kutokea katikati ya Uwanja akaanza kuwekwa ' Benchi ' ndipo Kijana Manyika Peter Jr akaanza kupata nafasi. Muulizeni baada ya kubanwa katika changing room siku hiyo alisema nini na baadae ' umafia ' gani Simba iliufanya kwa hiyo Timu na hadi leo hiyo Timu inaiheshimu Simba.

Hivi unategemea nini kama tu Kocha wa Kagera Sugar ' Mnafiki ' Mecky Mexime ni Mwana Yanga tena wa kufa Mtu? Tunajua jinsi Mecky alivyokuwa akichukuwa ' mizigo ' katika mechi mbili ambazo Timu yake ya Zamani ya Mtibwa Sugar ilicheza na Yanga hadi wakawa ' maadui ' za Kocha msaidizi wake Zubeiry Katwila.

Kama mlitizima mpira wa leo Yanga ilipitia katika upande wa Kushoto ambako huyo Beki aliyepangwa leo na Kagera Sugar ni Mwana Yanga hadi yupo hata tayari kutolewa ' Kafara ' na Yanga ili ishinde. Tunajua ' mzigo ' wa leo huko Kagera alipewa Kocha Mecky na yeye akausambaza kwa Mwana Yanga mwingine Beki Godfrey Taita na mwingine akausambaza kwa huyo ' Dogo ' Beki wa Kushoto na akahakikisha kuwa leo Mchezaji kama Themi Felix hampi nafasi na hata kama angempa basi angepewa ' maagizo ' maalum.

Mchezo wa leo ilikuwa tayari imeshapangwa kuwa Yanga ishinde tena kwa idadi kubwa ya ' Magoli ' ili tu kuweza ' Kunogesha ' Mkutano Mkuu wa dharura ambao ulikuwa ufanyike Kesho ila bahati nzuri Mahamaka huwa ' haitakagi ujinga ' imeusitisha hadi tarehe 24 November 2016 baada ya kugundua ' janja janja ' ya ' Gabachori '. Nia kubwa ya ' Kuwahonga ' leo Kagera Sugar na ifungwe goli nyingi ni kuweza kuwaaminisha wana Yanga ambao wengi wao ' hawajielewi ' katika ' mitima ' yao ili walewe ushindi na Kesho Mkutanoni kila kitu kiwe ' ndiyo ' na ' hewala hewala ' Kisha Mwanamume apewe ' Nembo ' na ' Timu ' yake ale atakavyo kwa miaka 10 kisha akimaliza aidai Yanga Tsh 98 billion kutoka hizi Tsh 11 billion anazowadai sasa.

Mwisho naomba niwaulizeni hivi hawa Kagera Sugar wa leo ndiyo wale waliocheza na Simba Sports Club wiki mbili zilizopita ambapo walikuwa ' wanahaha ' uwanja mzima huku wakicheza kwa nguvu na ari huku wakiwa na hasira na hamu ya ushindi ila wote wakatulizwa na ' Fundi ' Kichuya? Nawaombeni kwa umakini wenu rudieni kupitia mechi ya leo kisha angalieni ' magoli ' ya Yanga hasa la pili na la tatu kisha mwangalieni Golikipa Hussein Shariff Casillas wa Kigamboni alivyodaka ' kimlungula mlungula ' hadi ' Mnafiki ' mwenzie Kocha wake Mecky Mexime akaona ' noma ' na kumtoa ili ' kuzuga '.

Siku TAKUKURU wakisema waingie rasmi kuchunguza mechi za VPL hasa zinazoihusu Yanga FC nadhani nchi ' itatikisika ' kwa aibu kubwa kwani tunaoujua mpira wa ' Bongo ' kindaki ndaki hatushangai na ushindi wa ' Kimagumashi ' wa Yanga katika mechi zake ila watajitahidi lakini kwa Simba Sports Club ya safari hii ' watasubiri ' sana. Na Kesho karibuni ' Shamba la Bibi ' muweze kuona ' mauaji ' ya Karne ya ' Shalubela ' iyakayokumbana nayo Watoto wa ' Wakodishwaji FC '.

Kungekuwa kuna Kombe la Dunia la ' Kuhonga ' nadhani Klabu / Timu ya Yanga FC kila mwaka ingeibuka mshindi na pengine hata kukabidhiwa Kombe moja kwa moja. Naomba niishie hapa Tafadhali na namsubiri ' Mshikaji ' wangu Kipa wa Kagera Sugar Hussein Shariff Cassilas wa Kigamboni arudi mjini ili tukatanue sana na ' Mibia ' Kijiweni ' migo migo ' Baa maarufu ya Jirani kwa Marehemu Sheikh Yahya Hussein na zitakazobaki tutaenda zetu ' kubai ' nyuchi Uwanja wa Nyumbani Brazil Pub Tegeta mbele tu kidogo ya Kibo Complex.
 
Ni aibu kwa Yanga kushangilia kuwafunga watu hawana pa kulala kwa mwezi mzima. Chakula hawana ukame. Hata kuoga yao shida. Ni Sawa na kumpiga mlemavu. Yanga hovyooo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] simba bwana majungu tu!!!
 
Kwa Kipa mla ' mlungula ' maarufu Hussein Shariff a.k.a Casillas ningeshangaa sana leo Yanga kama isingeshinda magoli kuanzia 3 na hata hadi 10 na nimeshangaa kuona Yanga imewafunga hawa Kagera Goli chache hizo 6 tu. Kwa kuanzia kabla sijamjadili hapa Kipa Shariff ambao Binafsi ni ' Mshkaji ' na huwa tunakumbana sana katika ' Mabonanza ' Leaders na huwa tunaonana mno Mitaa ya Magomeni katika ' Ndondo ' ambazo huwa anacheza sana na kule Kwake ' Kigamboni ' pia huwa tunakutana sana tu.

Jiulizeni ni kwanini Simba Sports Club ilimuacha na ni kwanini alipogundulika tu amechukua ' Mlungula ' katika mechi baina ya Timu moja ' Tajiri ' ila kwa sasa inasuasua kwa kufungwa magoli tena ya kutokea katikati ya Uwanja akaanza kuwekwa ' Benchi ' ndipo Kijana Manyika Peter Jr akaanza kupata nafasi. Muulizeni baada ya kubanwa katika changing room siku hiyo alisema nini na baadae ' umafia ' gani Simba iliufanya kwa hiyo Timu na hadi leo hiyo Timu inaiheshimu Simba.

Hivi unategemea nini kama tu Kocha wa Kagera Sugar ' Mnafiki ' Mecky Mexime ni Mwana Yanga tena wa kufa Mtu? Tunajua jinsi Mecky alivyokuwa akichukuwa ' mizigo ' katika mechi mbili ambazo Timu yake ya Zamani ya Mtibwa Sugar ilicheza na Yanga hadi wakawa ' maadui ' za Kocha msaidizi wake Zubeiry Katwila.

Kama mlitizima mpira wa leo Yanga ilipitia katika upande wa Kushoto ambako huyo Beki aliyepangwa leo na Kagera Sugar ni Mwana Yanga hadi yupo hata tayari kutolewa ' Kafara ' na Yanga ili ishinde. Tunajua ' mzigo ' wa leo huko Kagera alipewa Kocha Mecky na yeye akausambaza kwa Mwana Yanga mwingine Beki Godfrey Taita na mwingine akausambaza kwa huyo ' Dogo ' Beki wa Kushoto na akahakikisha kuwa leo Mchezaji kama Themi Felix hampi nafasi na hata kama angempa basi angepewa ' maagizo ' maalum.

Mchezo wa leo ilikuwa tayari imeshapangwa kuwa Yanga ishinde tena kwa idadi kubwa ya ' Magoli ' ili tu kuweza ' Kunogesha ' Mkutano Mkuu wa dharura ambao ulikuwa ufanyike Kesho ila bahati nzuri Mahamaka huwa ' haitakagi ujinga ' imeusitisha hadi tarehe 24 November 2016 baada ya kugundua ' janja janja ' ya ' Gabachori '. Nia kubwa ya ' Kuwahonga ' leo Kagera Sugar na ifungwe goli nyingi ni kuweza kuwaaminisha wana Yanga ambao wengi wao ' hawajielewi ' katika ' mitima ' yao ili walewe ushindi na Kesho Mkutanoni kila kitu kiwe ' ndiyo ' na ' hewala hewala ' Kisha Mwanamume apewe ' Nembo ' na ' Timu ' yake ale atakavyo kwa miaka 10 kisha akimaliza aidai Yanga Tsh 98 billion kutoka hizi Tsh 11 billion anazowadai sasa.

Mwisho naomba niwaulizeni hivi hawa Kagera Sugar wa leo ndiyo wale waliocheza na Simba Sports Club wiki mbili zilizopita ambapo walikuwa ' wanahaha ' uwanja mzima huku wakicheza kwa nguvu na ari huku wakiwa na hasira na hamu ya ushindi ila wote wakatulizwa na ' Fundi ' Kichuya? Nawaombeni kwa umakini wenu rudieni kupitia mechi ya leo kisha angalieni ' magoli ' ya Yanga hasa la pili na la tatu kisha mwangalieni Golikipa Hussein Shariff Casillas wa Kigamboni alivyodaka ' kimlungula mlungula ' hadi ' Mnafiki ' mwenzie Kocha wake Mecky Mexime akaona ' noma ' na kumtoa ili ' kuzuga '.

Siku TAKUKURU wakisema waingie rasmi kuchunguza mechi za VPL hasa zinazoihusu Yanga FC nadhani nchi ' itatikisika ' kwa aibu kubwa kwani tunaoujua mpira wa ' Bongo ' kindaki ndaki hatushangai na ushindi wa ' Kimagumashi ' wa Yanga katika mechi zake ila watajitahidi lakini kwa Simba Sports Club ya safari hii ' watasubiri ' sana. Na Kesho karibuni ' Shamba la Bibi ' muweze kuona ' mauaji ' ya Karne ya ' Shalubela ' iyakayokumbana nayo Watoto wa ' Wakodishwaji FC '.

Kungekuwa kuna Kombe la Dunia la ' Kuhonga ' nadhani Klabu / Timu ya Yanga FC kila mwaka ingeibuka mshindi na pengine hata kukabidhiwa Kombe moja kwa moja. Naomba niishie hapa Tafadhali na namsubiri ' Mshikaji ' wangu Kipa wa Kagera Sugar Hussein Shariff Cassilas wa Kigamboni arudi mjini ili tukatanue sana na ' Mibia ' Kijiweni ' migo migo ' Baa maarufu ya Jirani kwa Marehemu Sheikh Yahya Hussein na zitakazobaki tutaenda zetu ' kubai ' nyuchi Uwanja wa Nyumbani Brazil Pub Tegeta mbele tu kidogo ya Kibo Complex.

Mfa maji haachi kutapatapa. Cassilas kapigwa tatu akatolewa. Akaingia burhani nae akala tatu. Kama yanga tumeweza kununua makipa wote hao basi tutakuwa matajiri sana.

Ile mechi ya Simba na Kagera sugar mliyoshinda goli mbili vipi na nyie watani mlinunua magoli machache au?
 
Kwa Kipa mla ' mlungula ' maarufu Hussein Shariff a.k.a Casillas ningeshangaa sana leo Yanga kama isingeshinda magoli kuanzia 3 na hata hadi 10 na nimeshangaa kuona Yanga imewafunga hawa Kagera Goli chache hizo 6 tu. Kwa kuanzia kabla sijamjadili hapa Kipa Shariff ambao Binafsi ni ' Mshkaji ' na huwa tunakumbana sana katika ' Mabonanza ' Leaders na huwa tunaonana mno Mitaa ya Magomeni katika ' Ndondo ' ambazo huwa anacheza sana na kule Kwake ' Kigamboni ' pia huwa tunakutana sana tu.

Jiulizeni ni kwanini Simba Sports Club ilimuacha na ni kwanini alipogundulika tu amechukua ' Mlungula ' katika mechi baina ya Timu moja ' Tajiri ' ila kwa sasa inasuasua kwa kufungwa magoli tena ya kutokea katikati ya Uwanja akaanza kuwekwa ' Benchi ' ndipo Kijana Manyika Peter Jr akaanza kupata nafasi. Muulizeni baada ya kubanwa katika changing room siku hiyo alisema nini na baadae ' umafia ' gani Simba iliufanya kwa hiyo Timu na hadi leo hiyo Timu inaiheshimu Simba.

Hivi unategemea nini kama tu Kocha wa Kagera Sugar ' Mnafiki ' Mecky Mexime ni Mwana Yanga tena wa kufa Mtu? Tunajua jinsi Mecky alivyokuwa akichukuwa ' mizigo ' katika mechi mbili ambazo Timu yake ya Zamani ya Mtibwa Sugar ilicheza na Yanga hadi wakawa ' maadui ' za Kocha msaidizi wake Zubeiry Katwila.

Kama mlitizima mpira wa leo Yanga ilipitia katika upande wa Kushoto ambako huyo Beki aliyepangwa leo na Kagera Sugar ni Mwana Yanga hadi yupo hata tayari kutolewa ' Kafara ' na Yanga ili ishinde. Tunajua ' mzigo ' wa leo huko Kagera alipewa Kocha Mecky na yeye akausambaza kwa Mwana Yanga mwingine Beki Godfrey Taita na mwingine akausambaza kwa huyo ' Dogo ' Beki wa Kushoto na akahakikisha kuwa leo Mchezaji kama Themi Felix hampi nafasi na hata kama angempa basi angepewa ' maagizo ' maalum.

Mchezo wa leo ilikuwa tayari imeshapangwa kuwa Yanga ishinde tena kwa idadi kubwa ya ' Magoli ' ili tu kuweza ' Kunogesha ' Mkutano Mkuu wa dharura ambao ulikuwa ufanyike Kesho ila bahati nzuri Mahamaka huwa ' haitakagi ujinga ' imeusitisha hadi tarehe 24 November 2016 baada ya kugundua ' janja janja ' ya ' Gabachori '. Nia kubwa ya ' Kuwahonga ' leo Kagera Sugar na ifungwe goli nyingi ni kuweza kuwaaminisha wana Yanga ambao wengi wao ' hawajielewi ' katika ' mitima ' yao ili walewe ushindi na Kesho Mkutanoni kila kitu kiwe ' ndiyo ' na ' hewala hewala ' Kisha Mwanamume apewe ' Nembo ' na ' Timu ' yake ale atakavyo kwa miaka 10 kisha akimaliza aidai Yanga Tsh 98 billion kutoka hizi Tsh 11 billion anazowadai sasa.

Mwisho naomba niwaulizeni hivi hawa Kagera Sugar wa leo ndiyo wale waliocheza na Simba Sports Club wiki mbili zilizopita ambapo walikuwa ' wanahaha ' uwanja mzima huku wakicheza kwa nguvu na ari huku wakiwa na hasira na hamu ya ushindi ila wote wakatulizwa na ' Fundi ' Kichuya? Nawaombeni kwa umakini wenu rudieni kupitia mechi ya leo kisha angalieni ' magoli ' ya Yanga hasa la pili na la tatu kisha mwangalieni Golikipa Hussein Shariff Casillas wa Kigamboni alivyodaka ' kimlungula mlungula ' hadi ' Mnafiki ' mwenzie Kocha wake Mecky Mexime akaona ' noma ' na kumtoa ili ' kuzuga '.

Siku TAKUKURU wakisema waingie rasmi kuchunguza mechi za VPL hasa zinazoihusu Yanga FC nadhani nchi ' itatikisika ' kwa aibu kubwa kwani tunaoujua mpira wa ' Bongo ' kindaki ndaki hatushangai na ushindi wa ' Kimagumashi ' wa Yanga katika mechi zake ila watajitahidi lakini kwa Simba Sports Club ya safari hii ' watasubiri ' sana. Na Kesho karibuni ' Shamba la Bibi ' muweze kuona ' mauaji ' ya Karne ya ' Shalubela ' iyakayokumbana nayo Watoto wa ' Wakodishwaji FC '.

Kungekuwa kuna Kombe la Dunia la ' Kuhonga ' nadhani Klabu / Timu ya Yanga FC kila mwaka ingeibuka mshindi na pengine hata kukabidhiwa Kombe moja kwa moja. Naomba niishie hapa Tafadhali na namsubiri ' Mshikaji ' wangu Kipa wa Kagera Sugar Hussein Shariff Cassilas wa Kigamboni arudi mjini ili tukatanue sana na ' Mibia ' Kijiweni ' migo migo ' Baa maarufu ya Jirani kwa Marehemu Sheikh Yahya Hussein na zitakazobaki tutaenda zetu ' kubai ' nyuchi Uwanja wa Nyumbani Brazil Pub Tegeta mbele tu kidogo ya Kibo Complex.
Mkuu umefunguka sana. Kama kweli haya yanafanyika basi tuna safari ndefu sana kuendeleza soka letu.!
 
Kwa Kipa mla ' mlungula ' maarufu Hussein Shariff a.k.a Casillas ningeshangaa sana leo Yanga kama isingeshinda magoli kuanzia 3 na hata hadi 10 na nimeshangaa kuona Yanga imewafunga hawa Kagera Goli chache hizo 6 tu. Kwa kuanzia kabla sijamjadili hapa Kipa Shariff ambao Binafsi ni ' Mshkaji ' na huwa tunakumbana sana katika ' Mabonanza ' Leaders na huwa tunaonana mno Mitaa ya Magomeni katika ' Ndondo ' ambazo huwa anacheza sana na kule Kwake ' Kigamboni ' pia huwa tunakutana sana tu.

Jiulizeni ni kwanini Simba Sports Club ilimuacha na ni kwanini alipogundulika tu amechukua ' Mlungula ' katika mechi baina ya Timu moja ' Tajiri ' ila kwa sasa inasuasua kwa kufungwa magoli tena ya kutokea katikati ya Uwanja akaanza kuwekwa ' Benchi ' ndipo Kijana Manyika Peter Jr akaanza kupata nafasi. Muulizeni baada ya kubanwa katika changing room siku hiyo alisema nini na baadae ' umafia ' gani Simba iliufanya kwa hiyo Timu na hadi leo hiyo Timu inaiheshimu Simba.

Hivi unategemea nini kama tu Kocha wa Kagera Sugar ' Mnafiki ' Mecky Mexime ni Mwana Yanga tena wa kufa Mtu? Tunajua jinsi Mecky alivyokuwa akichukuwa ' mizigo ' katika mechi mbili ambazo Timu yake ya Zamani ya Mtibwa Sugar ilicheza na Yanga hadi wakawa ' maadui ' za Kocha msaidizi wake Zubeiry Katwila.

Kama mlitizima mpira wa leo Yanga ilipitia katika upande wa Kushoto ambako huyo Beki aliyepangwa leo na Kagera Sugar ni Mwana Yanga hadi yupo hata tayari kutolewa ' Kafara ' na Yanga ili ishinde. Tunajua ' mzigo ' wa leo huko Kagera alipewa Kocha Mecky na yeye akausambaza kwa Mwana Yanga mwingine Beki Godfrey Taita na mwingine akausambaza kwa huyo ' Dogo ' Beki wa Kushoto na akahakikisha kuwa leo Mchezaji kama Themi Felix hampi nafasi na hata kama angempa basi angepewa ' maagizo ' maalum.

Mchezo wa leo ilikuwa tayari imeshapangwa kuwa Yanga ishinde tena kwa idadi kubwa ya ' Magoli ' ili tu kuweza ' Kunogesha ' Mkutano Mkuu wa dharura ambao ulikuwa ufanyike Kesho ila bahati nzuri Mahamaka huwa ' haitakagi ujinga ' imeusitisha hadi tarehe 24 November 2016 baada ya kugundua ' janja janja ' ya ' Gabachori '. Nia kubwa ya ' Kuwahonga ' leo Kagera Sugar na ifungwe goli nyingi ni kuweza kuwaaminisha wana Yanga ambao wengi wao ' hawajielewi ' katika ' mitima ' yao ili walewe ushindi na Kesho Mkutanoni kila kitu kiwe ' ndiyo ' na ' hewala hewala ' Kisha Mwanamume apewe ' Nembo ' na ' Timu ' yake ale atakavyo kwa miaka 10 kisha akimaliza aidai Yanga Tsh 98 billion kutoka hizi Tsh 11 billion anazowadai sasa.

Mwisho naomba niwaulizeni hivi hawa Kagera Sugar wa leo ndiyo wale waliocheza na Simba Sports Club wiki mbili zilizopita ambapo walikuwa ' wanahaha ' uwanja mzima huku wakicheza kwa nguvu na ari huku wakiwa na hasira na hamu ya ushindi ila wote wakatulizwa na ' Fundi ' Kichuya? Nawaombeni kwa umakini wenu rudieni kupitia mechi ya leo kisha angalieni ' magoli ' ya Yanga hasa la pili na la tatu kisha mwangalieni Golikipa Hussein Shariff Casillas wa Kigamboni alivyodaka ' kimlungula mlungula ' hadi ' Mnafiki ' mwenzie Kocha wake Mecky Mexime akaona ' noma ' na kumtoa ili ' kuzuga '.

Siku TAKUKURU wakisema waingie rasmi kuchunguza mechi za VPL hasa zinazoihusu Yanga FC nadhani nchi ' itatikisika ' kwa aibu kubwa kwani tunaoujua mpira wa ' Bongo ' kindaki ndaki hatushangai na ushindi wa ' Kimagumashi ' wa Yanga katika mechi zake ila watajitahidi lakini kwa Simba Sports Club ya safari hii ' watasubiri ' sana. Na Kesho karibuni ' Shamba la Bibi ' muweze kuona ' mauaji ' ya Karne ya ' Shalubela ' iyakayokumbana nayo Watoto wa ' Wakodishwaji FC '.

Kungekuwa kuna Kombe la Dunia la ' Kuhonga ' nadhani Klabu / Timu ya Yanga FC kila mwaka ingeibuka mshindi na pengine hata kukabidhiwa Kombe moja kwa moja. Naomba niishie hapa Tafadhali na namsubiri ' Mshikaji ' wangu Kipa wa Kagera Sugar Hussein Shariff Cassilas wa Kigamboni arudi mjini ili tukatanue sana na ' Mibia ' Kijiweni ' migo migo ' Baa maarufu ya Jirani kwa Marehemu Sheikh Yahya Hussein na zitakazobaki tutaenda zetu ' kubai ' nyuchi Uwanja wa Nyumbani Brazil Pub Tegeta mbele tu kidogo ya Kibo Complex.
Laiti kama haya mahaba ungehamishia kwa mume/mchumba/mpenzi wako basi msingeingia katika migogoro asilani...mahaba niue
 
Back
Top Bottom