mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Katika muendelezo wa ligi kuu Tanzania Bara, leo katika uwanja wa taifa patakuwa hapatoshi pale miamba wa soka tanzania Dar Young Africans watakapokuwa wenyeji dhidi ya timu ya coast union kutoka mkoani Tanga.
Coast wataingia uwanjani leo huku wakikumbuka kipigo cha magoli 8-0 kutoka kwa Wanajangwani hao msimu wa 2014/2015.
Yanga iliyofanya usajili mkubwa msimu huu kwa kuwaleta wachezaji hatari kabisa akina Donald Ngoma, Thaban Kamusoko, Deus Kaseke, Vicent Bosou, Winga hatari Georfrey Mwashiuya na wakali wengine kibao wana hamu kubwa ya kutaka kuwaonyesha coast mpira wa kiholanzi na kuwahakikishia kuwa msimu uliopipta hawakubahatisha kuwachukulia point zote 6 katika michezo yote miwili.
Kocha mkuu wa Yanga ametamba kuibuka na ushindi katika mchezo wa leo huku akijiamini na safu yake ya ushambuliaji chini ya Donald Ngoma na Mrundi Amissi Tambwe.
Kuwaletea haya yote kutoka uwanja wa Taifa utakuwa nami nkolaj sambamba na Makoye Matale, cnjona, bantu lady, na wanajangwani wengine tuliomo humu jukwaani.
Hapa ni michezo tu mwanzo mwisho, siasa peleka ikulu.
................. Full Time.........
...............YANGA 2-0 COAST UNION.......
Coast wataingia uwanjani leo huku wakikumbuka kipigo cha magoli 8-0 kutoka kwa Wanajangwani hao msimu wa 2014/2015.
Yanga iliyofanya usajili mkubwa msimu huu kwa kuwaleta wachezaji hatari kabisa akina Donald Ngoma, Thaban Kamusoko, Deus Kaseke, Vicent Bosou, Winga hatari Georfrey Mwashiuya na wakali wengine kibao wana hamu kubwa ya kutaka kuwaonyesha coast mpira wa kiholanzi na kuwahakikishia kuwa msimu uliopipta hawakubahatisha kuwachukulia point zote 6 katika michezo yote miwili.
Kocha mkuu wa Yanga ametamba kuibuka na ushindi katika mchezo wa leo huku akijiamini na safu yake ya ushambuliaji chini ya Donald Ngoma na Mrundi Amissi Tambwe.
Kuwaletea haya yote kutoka uwanja wa Taifa utakuwa nami nkolaj sambamba na Makoye Matale, cnjona, bantu lady, na wanajangwani wengine tuliomo humu jukwaani.
Hapa ni michezo tu mwanzo mwisho, siasa peleka ikulu.
................. Full Time.........
...............YANGA 2-0 COAST UNION.......