Wazee wa kuishia raundi ya kwanza michuano ya CAF.
Wazee wa kupenda mechi za ligi ya Bara kasoro ile dhidi ya Simba
Wazee wa kuzimia
Wazee wa kuishia raundi ya kwanza michuano ya CAF.
Wazee wa kupenda mechi za ligi ya Bara kasoro ile dhidi ya Simba
Wazee wa kuzimia
Wazee wa kuishia raundi ya kwanza michuano ya CAF.
Wazee wa kupenda mechi za ligi ya Bara kasoro ile dhidi ya Simba
Wazee wa kuzimia
Mkuu Katavi nakuhurumia sana kwani kwa hizi mechi 3 zilizo mbele yetu utaendelea kusikitika, kusononeka na kuomboleza. Tunataka pointi 9 tu ili tukikutana na Azam tumwachie ili Simba asinyakue nafasi ya mshindi wa 2 kama yeye alivyofanya mwaka jana.