nimekuona kaka ila nduguyo Masuke kishakata tamaa, hapana chezeya Yanga. Mikia tumewafunga midomo kabisaaaa
Nipo sana ila tu ujenzi wa taifa ndo unanifany napotea potea si unajua hili Taifa unajenga leo kesho ukiamka unakuta baadhi ya sehemu limebomoka hivyo ujenzi wa hili Taifa haushi.
Mwaka huu kweli chama letu limepoteza mwelekeo, inabidi tutafute namna ya kubadilisha namna ya kucheza hii ligi, iwe inachezwa kwa mtoano.