Yanga weraaaaaaaaaaaaaa mpo juuuuuuu
Hivyo vinono tayari ushavikosa, lakini kwa kiubinadamu mtu akiwa na furaha hupewa pongezi lakini akiwa na huzuni hupewa pole, ahadi yangu isipotimilishwa nitaibadili na kukufuta machozi japo kwa kifurushi cha wiki moja unlimited.
Nakuonaga jukwaa la wakubwa, mie huku nyumbani
Nahisi kuna biashara hapa imeshafanyika hapa!!
Duh!Mkuu umenifanisha tu mimi lile jukwaa siingiagi kabisa.Na nikiingia ni kama leo kuna kitu nafuatilia basi.
Mimi jukwaa langu ni la tetesi na umbea kuhusu mastar wa mjini ndio home sweet home.
Mkuu, biashara ipo. Ni kama ile ya Mikia kwa Mgambo ya Tanga.
Bila kusahau ile mechi ya Mbeya City v Simba kule Mbeya.
Ha ha naijua mitaa yako leo ndio nimekuona ukiwa detective sehemu. Yanga inatupa raha ndio habari kubwa ya mujini
Yanga wameua
huu ni mwendelezo wa ligu kuu tanzania bara na leo tar 24/04/2015 yanga ya dar es salaam inaikaribisha timu ya ruvu shooting ya pwani.
Mchezo unatazamiwa kuwa mkali na wakusisimua kutokana na timu zote mbili kuhitaji point 3 muhimu, yanga inahitaji point 3 katika mchezo wa leo ili kujiweka mazingira mazur zaidi ya kunyakuwa ubingwa wa msimu huu wa 2014/2015, huku ruvu shooting wakihitaji point 3 ili kujiweka mahala salama ili kukwepa mkasa wa kushuka daraja.
Kukuletea hayo yote kutoka pale uwanja wa taifa ifikapo saa 16:00 jioni utakuwa nami mkolaj, sibonike, wakimataifa, makoye matale, amavubi, katavi, cnjona, yahoo, nifah, bantu lady na wadau wengine.......
Kila la kheir yanga afrika.
______________
______________
full time
yanga 5-0 ruvu shooting.