Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Hata wangeongezewa mabeki mia! Yanga ni Mabingwa 2015! Hakuna wa kumzuia mwaka huu!!!
Unamkumbuka yule beki aliyemkaba Tambwe?? Leo tena uso kwa macho tena kaongezwa beki mwingine kwaajili ya Msuba aah Msuva
Hii yanga mmeahidiwa mnafunga ngapi maana ilishachezwa eti...
Kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Ruvu shooting;
1.Deogratius Munishi "Dida"
2.Juma Abdul Mnyamani
3.Oscar Joshua
4.Rajabu Zahir
5.Kelvin Yondan
6.Said Juma Makapu
7.Simon Msuva
8.Haruna Niyonzima "Fabregas"
9.Amiss Tambwe
10.Mrisho Ngassa "Anko"
11.Kpah Sherman
SUB----
Ally Mustapha "Barthez"
Edward Charles
Nizar Halfan
Andrey Coutinho
Hassan Dilunga
Jerryson Tegete.
Kocha mkuu___
Hans van der Pluijm
Kocha msaidizi___
Charles Boniface Mkwasa
Daktari wa timu-
Juma Sufiani
Meneja wa timu__
Afidh Saleh
Kila la kheir yanga afrika.
YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Hata mabeki wa Mgambo waliomkaba Okwi kule Tanga na kusababisha Simba kucharazwa bao 2-0 juzi pia walikuwepo na kushuhudia kichapo cha 4-0 kutoka Simba.
Ruvu Shooting waelewe kuwa hizi mechi za mwisho siyo sawa na mechi za mwanzo!
andelea kujipa moyo
Ni kweli Dida ni tatizo sana bora ya Bathez! Akishindwa kudhihirisha ubora wake leo basi tena!
Kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Ruvu shooting;
1.Deogratius Munishi "Dida"
2.Juma Abdul Mnyamani
3.Oscar Joshua
4.Rajabu Zahir
5.Kelvin Yondan
6.Said Juma Makapu
7.Simon Msuva
8.Haruna Niyonzima "Fabregas"
9.Amiss Tambwe
10.Mrisho Ngassa "Anko"
11.Kpah Sherman
SUB----
Ally Mustapha "Barthez"
Edward Charles
Nizar Halfan
Andrey Coutinho
Hassan Dilunga
Jerryson Tegete.
Kocha mkuu___
Hans van der Pluijm
Kocha msaidizi___
Charles Boniface Mkwasa
Daktari wa timu-
Juma Sufiani
Meneja wa timu__
Afidh Saleh
Kila la kheir yanga afrika.
YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Ruvu shooting;
1.Deogratius Munishi "Dida"
2.Juma Abdul Mnyamani
3.Oscar Joshua
4.Rajabu Zahir
5.Kelvin Yondan
6.Said Juma Makapu
7.Simon Msuva
8.Haruna Niyonzima "Fabregas"
9.Amiss Tambwe
10.Mrisho Ngassa "Anko"
11.Kpah Sherman
kwa mara nyingine tena yanga itachukua point 2, Tambwe na Msuva kwa mara nyingine tena watafanya yao
Point 2 ilikuwa zamani mkuu.
Point 2 ilikuwa zamani mkuu.
Mkono uliteleza bana
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba kipa Deogratius Munishi dida ameondolewa kwenye kikosi cha yanga kitakachoanza leo dhidi ya ruvu shooting na nafasi yake imechukuliwa na kipa Ally Mustapha "Barthez".Ni kweli Dida ni tatizo sana bora ya Bathez! Akishindwa kudhihirisha ubora wake leo basi tena!