Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Hata wangeongezewa mabeki mia! Yanga ni Mabingwa 2015! Hakuna wa kumzuia mwaka huu!!!
Masao Bwire akiongea na RFA amedai kuwa 'Yanga ni gari bovu lililokata breki halafu limekuwa likizuiwa na vigingi dhaifu', akaongeza kuwa 'Ruvu Shooting ni kigingi imara kitakachozuia hilo gari bovu'. Amejinasibu kuwa endapo wataifunga Yanga watajipatia heshima kubwa na kutambuliwa na Watanzania kwani Yanga ndiyo inaongoza ligi kwa sasa.
Swali linabaki kuwa: je, ni kweli Ruvu Shooting ni kigingi imara kwa Yanga?