mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Ahsante sana Ndanda timu ya kukaya,Mtibwa 1 Ruvu Shooting 2
Coastal 1 Stand 0
Ndanda 2 Kagera 1
Siku moja mtakuwa juu na wazee wa droo watakuwa chini yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana Ndanda timu ya kukaya,Mtibwa 1 Ruvu Shooting 2
Coastal 1 Stand 0
Ndanda 2 Kagera 1
Nasubiri kuona adhabu ya Okwi ukurasa wa mbele wa championi,maana walijitutumua sana na picha ya Tambwe
Mtibwa je?
".. tushukuru Mungu Okwi yupo hai hadi sasa, maana alipigwa kiwiko mshipa wa fahamu ulio nyuma chini ya kichwa chake na ndo maana alipoteza fahamu kwa zaidi ya dk 10"
Source: Dr. wa Simba Sc.
Nami pia nategemea kuona hatua kali saaana zikichukuliwa.
Ahsante sana Ndanda timu ya kukaya,
Siku moja mtakuwa juu na wazee wa droo watakuwa chini yenu.
Sare ya ngapi hiyo?
Team bora inafanya nn nafasi ya Tisa?
Acha kujifaragua wewe.Nadhani jana umeona wanaume wakiwa uwanjani.
Simba ni timu bora zaidi Tanzania.Na ndiyo itachukua ubingwa mwaka huu
Makoye Matale hua sipendi kuwa mbashiriMkuu Freeland acha kuwayawaya, ni miujiza pekee itakayoifanya Simba iingie hata katika 3 bora za ligi kuu.
Kong'oli hapa: https://twitter.com/Tanfootball/status/559440697380843521/photo/1
Makoye Matale hua sipendi kuwa mbashiri
Simba ni timu ngumu zaidi katika Ligi hii......sio rahisi kuchukua point kwa simba
Gap la simba na timu ya kwanza ni gemu tatu tu
Kwa ligi jinsi ilivyo mbichi....simba itauchukua ubingwa...ni makosa madogo tu ya kurekebisha.
Kumbuka bado tuko raund ya kwanza ya ligi
Pia lambalamba wametuzidi mechi 1.
".. tushukuru Mungu Okwi yupo hai hadi sasa, maana alipigwa kiwiko mshipa wa fahamu ulio nyuma chini ya kichwa chake na ndo maana alipoteza fahamu kwa zaidi ya dk 10"
Source: Dr. wa Simba Sc.
Nami pia nategemea kuona hatua kali saaana zikichukuliwa.
Hakuna hatua itakayochukuliwa kwani Simba si timu ya kulalamikalalamika.
Makoye Matale hua sipendi kuwa mbashiri
Simba ni timu ngumu zaidi katika Ligi hii......sio rahisi kuchukua point kwa simba
Gap la simba na timu ya kwanza ni gemu tatu tu
Kwa ligi jinsi ilivyo mbichi....simba itauchukua ubingwa...ni makosa madogo tu ya kurekebisha.
Kumbuka bado tuko raund ya kwanza ya ligi
Viongozi wa TFF wanajua cha kufanya, wakizembea Simba Sc tunajua cha kufanya.
Mkuu penye ukweli lazima usemwe. Refa aliyechezesha mechi ya Yanga na Polisi alishindwa kuthibiti nidhamu uwanjani matokeo yake mpira ukageuka vita badala ya burudani.Afadhali mkuu,kumbe sio mechi za Yanga tu refa anashindwa kumudu mchezo
Hongera kwa uchambuzi, hebu weka na za Yanga....Kwa ugumu wa kutoa pointi nakubaliana nawe kwa upande mmoja. Kwa upande wa pili Simba ni timu dhaifu sana kuchuku pointi kutoka timu nyingine. Imecheza michezo 10 nakuambulia pointi 13 wastani wa pointi 1.3 kwa kila mechi sawa na wastani wa 43.3% ambayo ni chini ya nusu.
Malipo yako duniani hapa hapa. Hivi majuzi mliinyoshea vidole Yanga kwa kulalamikia umafia aliotendewa Amisi Tambwe, mkadai Yanga ni timu ya kulalamikalamika tu. Hata wiki haijapita mmekutana na kigongo cha wiki na kuanza kulalama. Pole sana.
Anyway, tuache utani wala ushabiki, hatua lazima zichukuliwe vinginevyo makubwa zaidi yanaweza kutokea uwanjani.