Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masuke Leo uwanjani kuna wababe Wa doka la uwanjani na sio magazetini
Chongeni fasta kabla haujafika muda mtakaposema sina furaha katika hiyo!
Swadatah....bravo😡Half time; Azam 0-1 Simba.
Mkuu sisi tunajaribu kuwapunguzia gap na Azam ambaye anaongoza kwa sasa halafu nyie hamtaki, vipi nyie?
azam wanalambwa kiulaini leo.
Yanga wanachekelea kimya kimya.
simba ya sasa siyo ya Rage mkuu.it means business meeeeeeeeenChongeni fasta kabla haujafika muda mtakaposema sina furaha katika hiyo!