Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,651
Hadi sasa She-polopolo 2-2 Twiga Stars.
TFF should rename Twiga Stars 'She-Taifa Stars'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi sasa She-polopolo 2-2 Twiga Stars.
Hii ligi ishanichosha mimi, itanipa ugonjwa wa moyo bure.
Ligi imekuwa ngumu, leo msimamo hivi. Siku mbili ushavurugika, leo ndiyo maini na figo vimekaangika.
Kiukweli roho imeniuma hawa mikia kushinda. Ruvu waone kwanza...
pamoja mkuu!!!Ruvu Shootings 0-2 Simba SC Dk 69
Coastal Union 0-1 Azam FC Dk 77
Hadi sasa She-polopolo 2-2 Twiga Stars.
Gerrard anakula nyekundu ndani ya dkk 3
TFF should rename Twiga Stars 'She-Taifa Stars'
All Africa Games Qualifier: (Women).
55' Zambia ( She-polopolo) 1-2 Tanzania ( Twiga Stars)
Naona mnachungulia tu hakuna cha kucoment humu.
Hii ligi ishanichosha mimi, itanipa ugonjwa wa moyo bure.
Ligi imekuwa ngumu, leo msimamo hivi. Siku mbili ushavurugika, leo ndiyo maini na figo vimekaangika.
Kiukweli roho imeniuma hawa mikia kushinda. Ruvu waone kwanza...
Man u kapiga la pili juan mata
Wakuu mashabiki wa Jangwani, hatuna sababu ya kuendelea kuwaombea mabaya Simba SC kwa jinsi walivyochoka.
Tumuachie Masao Bwire aendelee kuwachachafya kwa maneno, jana alisema 'tuanaenda kunywa maji katika dimbwi (Simba SC) lenye vyura wengi (mashabiki wa Simba SC) wanaopiga kelele, hata hivyo kelele zao hazituzuii kuyanywa maji hayo (kuifunga Simba SC)'. Jamaa ana kipaji cha kurusha madongo.
Wapigwe tu mikia by prime minister
Poa Mkuu na watu wote waseme amina.
Ameeeeeeeeeeeeeeeee1eeeeeee 0 eeeeeeeeeeen
Wapigwe mikia!!
Coastal nao wapigwe tu
Ruvu Shooting mkawe kichwa, Simba wawe mkia.
Simba wakiamua huwa hafanyi ajizi