Kweli yanga hamnazo mnafungwa 5-0, 3-1, 2-0, kwa miaka mitatu mfululizo, mnaongoza bao 3 mpaka half time, kutokana na litimu lenu kuwa dhaifu mpaka muhonge ndio lishinde zinarudi zote bado mnasema Adobe Photoshop! Kateni rufaa TFF basi maana mmefungwa kwa Adobe Photoshop na sio Soka la dimbani.kazi kucheza na Adobe Photoshop. Sawa waliifunga Yanga tano lakini watasubiri kushiriki mashindano ya CAF kwa miaka mitano.
Join Date : 2nd January 2015Wakitoa Suluhu tu, hawaonekanagi humu majukwaani.
Hiyo haina mvuto wala kuakisi ukweli kama hii....
Mtabakia na wimbo wa goli tano huku jahazi linazama. Jana mmeibuka upya lakini tunajua mikia ni gari la mkaa. Week hii lipo kazini (ushindi), week ijayo litakuwa garaje (kichapo). Mwendo huo hadi ligi inaisha. Hizo tano ingepiga timu ya wananchi hamkawii kusema zimenunuliwa. Za jana kanunua nani kati ya Kaburu na Mhaini?
Miaka yote mitatu ukiacha ule muziki mkubwa wa Simba uliowapiga 5 bila 2012, yanga wamekuwa wakipangiwa chipukizi wa kutoka timu ya Simba B na kwa kiwango chao hicho hicho wanachojisifia wamekuwa wakidhalilishwa kwa vipigo tu.Kumbe unakubali kuwa Simba "jahazi linazama" a.k.a kiwango "kimeshuka". Cha kushangaza ni kwamba yanga mpo kwenye kiwango cha hali ya juu kwa standard yenu ila mmetuacha point 8 tuu, na sisi ni wa 3 ktk msimamo! Sipati picha treni letu likipamba moto mziki utakuaje.
..................Inategemea nani anaingalia. Kama ni msaga sumu sawa!
Join Date : 2nd January 2015
Location : Tanzania
Posts : 263
Rep Power : 361
Likes Received88
Likes Given88
Hahahahaaa....inashangaza mtoto wa chekechea ambaye bado anatoka makamasi na kuyalamba akafahamu ratiba na mahudhurio ya baba zake vijiweni. Haya ni maajabu mengine ya dunia.