VPL standing

VPL standing

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,296
Reaction score
18,027
attachment.php

 

Attachments

  • VPL standing.jpg
    VPL standing.jpg
    38.7 KB · Views: 169
Ligi ni ngumu maximum point mpaka mwisho wa ligi ni 64 kama yanga au azam itashinda mechi zote zilizobaki,,,,,naona bingwa ataishia point 50 na kitu hivi,,,timu zimebanana sana


Kweli mkuu, tofauti kati ya timu inaoongoza ligi na ya mwisho ni point 14 wakati bado kucheza karibia nusu ya mechi zote kwa kila timu. Angalia Mbeya akishinda mechi moja tu na Polisi Moro ambae ni watatu akipoteza tayari watalingana kwa point. Ushindani mkali sana.
 
Back
Top Bottom