VPL: Super Saturday 17/10/2015

Kamusokoooo...dah anakosa

Anapiga penati kilaini kama Mpemba au Mzaramo kaambiwa ampige mwizi...
 
Mkuu kwa kuwaangalia tu wanatisha, upande wetu wanatoka sare na Mzee Kilomoni.

Kuna siku nilikuwa nasoma makala moja ambayo ndani yake Betram Mwombeki alikuwa akihojiwa...

Alitaja kuwa moja ya mambo yaliyomkimbiza Msimbazi ni huo ulozi ulozi...

Hizi timu zote zimebobea tu kwenye ndumba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…