Hii ni laana, si kawaida!
Tumeua 4 bila tayari , yebo acheni kelele ligi bado mbichi
Amelaaniwa yule amuitaye mwenzake muasherati wakati hapa tunaongelea soka. Unajifunza matusi ukubwani bwana mdogo Makoye Matale, kashtaki tena kwa vidume vyako.
Unadhani tunatanua mijini kwa kushtakiana kwa adm? Mwanaume unakuwa na tabia za kitoto, Shame on you!
Michezo ni amani michezo ni upendo. grafani11 hamia yanga mkuu hiyo sumu ya chuki na maneno ya shombo itatakatishwa na furaha, amani na upendo toka ktk timu pendwa timu ya wananchi wa tanzania mabingwa watarajiwa.
uzuri wa Simba hatununui mechi kaam Yanga. Yanga Manji anatumia pesa nying sana kuisababishai yanga ishinde ikiwa ni pamoja na kununu mechi but kama pesa hizo angeziweka kwenye kuiendeleza yanga ingekuwa mbali sana. but utaona hana nia hiyo zaidi ya kuwa please wana yanga ili kujijenga kisiasa. yanga wananunua sana mechi na hata kupanga wachezaji gan washinde katika mechi husika
Hivi YM mtamuongezea tena muda wa kukaa madarakani? Apumzike bana tupate wawakilishi madhubuti wa michuano ya Afrika. Timu inahonga halafu huko CAF inashindwa kusonga mbele
Mkuu nimeuliza swali hapo, uchaguzi wa Yanga FC upo mwaka huu au jamaa anaongezewa mwaka mwingine ili akamilishe lengo la kujenga Jangwani Complex na kurudisha 5-0?Mikia wameanza ligi
Mkuu nimeuliza swali hapo, uchaguzi wa Yanga FC upo mwaka huu au jamaa anaongezewa mwaka mwingine ili akamilishe lengo la kujenga Jangwani Complex na kurudisha 5-0?