Nne itapendezaSimba afungwe hata mbili tu zinatosha
Mkuu.. Ni majukumu ya hapa na pale.. Ila soon tutakua pamoja.Kiongozi unapopotea humu ndani unatuhuzunishaga sana,eneo korofi linatukera sana
Huyu Kichuya.. Huyuuuuu...Kichuyaaaaa la la la la goal kick
Simba siku hizi wanajitahidi sana yaani mpaka saa izi 0-0Halftime 0-0