VPL: Yanga vs Polisi Moro,mechi ya ubingwa na kushuka daraja

Simba msiwe mnaikomalia tu YANGA zikomalie na timu nyingine ili angalau muweze kusogea hata nafasi ya pili.
msimu mzima wahapahapa(mkia) huwa wanajiandaaga kwa mechi moja tu ya wazee wa-dozi(yanga)
 

unafaham kabisa simba wapo hovyo ambao wangeleta upinzani taja timu ambayo ingeleta upinzan kwa yanga angalau simba ingekuwa vizur kungekuwa na timu tatu zingegawana point ubingwa ungekuwa mgumu sasa unaleta habar za kusadikika mfumaj bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…