Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Ila hata wewe Mkuu naona unacheza na historia, kwa kusema Mnyama ni mzuri sana anapocheza mechi za mtoano, kama FA Cup.. naona umesahau kabisa kuwa Simba hii ya sasa ni ya Ulaya.
Matokeo ya Vpl katika viwanja mbalimbali leo tar. 16/09/2015.
Yanga 3-0 Prisons
Jkt Mgambo 0-2 Simba
Maji maji 1-0 Kagera suger
Mbeya city 3-0 Ruvu star
Stand United 0-2 Azam fc
Toto Africans 1-2 Mtibwa suger
Ndanda 1-0 Coast Union
Sijapata matokeo ya Mwadui dhidi ya African Sports.
Majimaji, Azam, Mikia fc, Na mafuriko zote zina point 6
Na mtibwa
Ndanda je?
Utasubiri sana mwaka huu, achana na Yanga itazidi kukuumiza kila inapocheza, wewe angalia mechi yenu huko Tanga mtakapochezea kichapo kama kawa.
kichapo kipi shehe yahaya?
Na wagosi wa kaya coastal union wakali wenu!!!
kichapo kipi shehe yahaya?
Nenda page 1 post ya kwich kwich utaona list.
SULUHU inatokea pale matokeo yanapokuwa 0-0 vinginevyo kama mabao yatalingana itaitwa SARE.