barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mza mechi 1, Shy mechi 2 jumla 3 mnaweza kupoteza pointi 9.
Na nyie mtapoteza hiO hizo kama toto hawataamua kuwauzia mechi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mza mechi 1, Shy mechi 2 jumla 3 mnaweza kupoteza pointi 9.
TAIFA:
FT: Yanga 3-0 TZP.
Yanga dume, Yanga baba yao, Yanga Mume wao, Yanga jana leo na sikuzote
Mza mechi 1, Shy mechi 2 jumla 3 mnaweza kupoteza pointi 9.
Moja ya Shy (Mwadui) Julio atatubeba ...
Stand United 0-0 Azam
Toto Africans 0-2 Mtibwa Sugar
Mbeya City 1-0 JKT Ruvu
Dakika zikielekea ukingoni,Stand United 0 Azam1 (Allen Wanga)
Hii habari siyo nzuri hata kidogo.
Dakika zikielekea ukingoni,Stand United 0 Azam1 (Allen Wanga)
Hii habari siyo nzuri hata kidogo.
Domayo kaongeza la pili!!!
Daaah, haya Mkuu.
Usiyempenda kaja.
hapo juu pagumu.
naona hadi wamchangani naye anakuja kasi
Chama la wana limekuwaje mwaka huu Mkuu Ghiti Milimo?
Mpinzani wa kweli ni Azam FC, Simba SC ni wazuri sana kwenye mechi za mtoano kama FA Cup lakini si wazuri kwenye mashindano ya ligi.
Tunashindwa kuelewa! Kwa sasa hawana shida kama msimu uliopita,ambao tulikuwa tunaichangia fedha!
Hata hamasa ya washabiki ilishapungua baada ya Mbunge wa hapa mjini KUITEKA NYARA,na kuifanya kama timu ya CHAMA CHETU!
Naomba 26/09/2015 mda kama huu.. uirudie tena hii kauli yako.
Naomba 26/09/2015 mda kama huu.. uirudie tena hii kauli yako.
Usijalu Mkuu, tatizo lako unacheza na historia.