Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
Wanangu wa JF niwaambie tu hatimae nimenyaka VPN speed ya 4G movie ya MB 800 dakika 10 jina VPN kapuni msije kuchoma..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu fanya mpango bhc hali ni tete kampun tutakisia sis wenyewWanangu wa JF niwaambie tu hatimae nimenyaka VPN speed ya 4G movie ya MB 800 dakika 10 jina VPN kapuni msije kuchoma..
Nisaidie Pm mkuuTunaijua VPN ya Voda hio..
Mie sina kiongozi, lakini naona vijana wanatumia..Nisaidie Pm mkuu
Sasa unaturusha roho au Kizuri kula na wenzakoWanangu wa JF niwaambie tu hatimae nimenyaka VPN speed ya 4G movie ya MB 800 dakika 10 jina VPN kapuni msije kuchoma..
NAkufata in bobo ndugu😂Wanangu wa JF niwaambie tu hatimae nimenyaka VPN speed ya 4G movie ya MB 800 dakika 10 jina VPN kapuni msije kuchoma..
Mkuu zinapatikana vp hzi.?Vpn ya nini wakati Postpaid bundles bei rahisi
Nenda ofisi za Tigo watakuunga, sharti uwe na leseni ya biashara na TIN numberMkuu zinapatikana vp hzi.?
Nitajie PM man, nakuaminia... wote tunyonye!!Za voda hizo tunazijua mwanetu
Hapa watafungaSasa unaturusha roho au Kizuri kula na wenzako
Sio hyoMie sina kiongozi, lakini naona vijana wanatumia..
Iki kupendeza nikumbuke kwenye ufalme wako kule PMSio hyo