Ushabiki
Masaa 24 rais wa Ukraine ameachia uongozi au bado anatamba mtaani na kuwatia adabu Warusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masaa 24 rais wa Ukraine ameachia uongozi au bado anatamba mtaani na kuwatia adabu Warusi.
Hizo picha za Azov Unit members affiliated with Bandera Nazi group! I presume. Na yaweza kudhitika.ndiyo maana wame ficha sura zao.
Kivipi, hii sio kweli kwani wao wana kosa gani. Unataka kutuambia kwenye hizo nchi mtu akikosa halafu akakimbia nchi ndugu zake ndio wanashitakiwa. Hii sio kweli kabisa.Chai ya rangi kuasi jeshi la Urusi au China unakuwa umeiweka rehani familia kama sio ukoo wako
Hii nayo warusi wa Yombo Vituka watapinga.Mrusi wa Chato unapingana na Mrusi Og wa KremlinView attachment 2180358View attachment 2180359
Kuasi katika kipindi hiki ni HERO, ataishi maishi bora kadri anavyotakakuasi jeshi la Urusi