Vumbi la mkongo

halafu joh kumbuka kuna theory inasema kitu ukikitumia freequently kinakuwa "bigger and stronger" na kama hukitumii mara kwa mara kinakua "smaller na weaker" kwahiyo kama unagegeda once a week anza kugegeda 1x3/7 hiyo dose itafanya dushe izoee shughuli
 
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Si kweli MTAIBIWA
 
wizi mtupu..
Huna tatizo chakufanya ni Install money first in your pocket or bank account
 
Kwa kifupi hujui unachokifanya.


Kama babako yu Hai kaa nae chini akupe elim
Kama hayupo
Njoo Pm
Usintie Aibu mimi. Alokwambia ukikaa masaa 7 kuman ndo mwanamke ataridhika nani
hahahahahaha.... mkuu umenichekesha sana leo.
Ila ahmed rajab kama unasumu yoyote ungeitema tu hapa hadharani maana. Vijana wengi wa kileo wanaumia sana vichwa kwa kutaka kujua ili mwanamke atosheke kabisa na swala la mapenzi kiasi cha kutotamani nje ni anatakiwa asuguliwe sana mpaka ke uwake moto au anatakiwa kuhakikisha mwanamke anafika kileleni ndio atatosheka. Na kama ni kufika kileleni kwa usiku mmoja mwanamke anahitaji kufika kileleni mara ngapi hasa ili kutosheka kabisa? Haya ni maswali yanayowatesa vijana wa dunia ya sasa.
 
Kwa kifupi hakuna mbinu rasmi au somo rasmi katika hili ispokuwa iko
Farsafa rasmi katika hili na ndani ya farsafa hiyo rasmi kuna
Miongozo rasmi
Hiyo ndio mtoto wa kiume anastahili kuwa nayo na kuifata muda wote anapokuwa falagha na Mtoto wa kike.
Kuna haja yakupeana shule sasa
Jpo wasiwas wangu tuko nao hapa
Wahusika sooo mbinu mbadala zitajengwa pia kutoka kwao.
Jambo likalopelekea kukutoa mchezoni wewe mtoto wa kiume.

Kwanza tambua moja kati ya vitu anavyovifurahia mtoto wa kike wa karne hii nikukushinda nguvu kitandani
 
The more you practice the more you gain. Pia biological wanaamini kiungo kisipotumika hupotea! Hata katika maisha ya kawaida mtu mwenye kufanya mazoezi huwa na afya nzuri tofauti na matu asiefanya mazoezi.
 
Matumizi ya boster sio mazuri huwa yanapoteza uwezo binafsi maana utakuwa huwendi mpaka ujibust
 
Hahahahahahaahahhaahahhahahahahahahhahahaha Vumbi la Mkongo hatari sana, utaimba mashairi yote ya nyimbo za lingala
 
Braza nimmenda gym ila wapi
tatizo mkuu ulitaraji kupata matokeo ndani ya wiki,fanya mazoezi majibu utayapata .Pia unapopiga mzigo jaribu kufikiria tukio ulilowahi kuliona la kusisimua mwili kwa kutisha ,kama ulishawahi kumwona mtu aliyepondwa na treni ,hali hii itakuchelewesha hisia za kutoa wazungu.
 

Mkuuu hayo mambo ya kuhamisha hisia nilishindwa kabisa


Nilishawahi kuwaza navuka barabara hisia zikapotea ila nikakuta nimesimamisha shughuli.

Kwneye gym nimekuelewa napambana bado na gym.


Umaweza niambia mazoezi yapi hasa gym yanasaidia???
 
Tatizo unakua na mihemko mingi, unafaa kulizamisha na kwenda taratibu, kila ukihisi wazungu wanakaribia unatulia kwanza na kumfanyia mambo mengine ya ziada.
 
Pata muda wa kukimbia pia ,kama kuna kimlima panda na kushuka utaona mabadiliko na hutajuta
Mkuuu hayo mambo ya kuhamisha hisia nilishindwa kabisa


Nilishawahi kuwaza navuka barabara hisia zikapotea ila nikakuta nimesimamisha shughuli.

Kwneye gym nimekuelewa napambana bado na gym.


Umaweza niambia mazoezi yapi hasa gym yanasaidia???
 
Kwa lugha nyepesi, usimwage ndani; sio upige punyeto.
 
Mbinu mbadala ya kumridhisha ni kwamba cha mwanzo unatakiwa ufanye foreplay ya maana ndani ya dakika walau 10 na sio unadandia tu kama jogoo, pili pamoja na foreplay changanya na brush (kama huijui uliza) sio chini ya dakika 5, then badala ya hapo ndio malizia.
Kumbuka hata msosi wako wa kila siku nao uwe umekamilika, pendelea sana kula matunda kama vile tikiti maji kwa wingi pamoja na matunda mengine, kunywa maji kwa wingi, na sio kushindia chipsi mayai.
 
Caca iyo unafanya umlizishe yy au c unaumia ww.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…