Hawa DP sasa inabidi wakupose kabisa mana imekua too muchDP World wana sponsor sana michezo tofauti tofauti nchi nyingi. kwao wana sponsor mpaka Michezo ya fedha nyingi sana.
Nawaonea gere Yanga.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Wamefika bei walishindana na nani? Wewe ulisikia hiyo tenda? Uwepo usawa wa kibiashara, zile ni timu za Umma sio binafsi, watu wanachangia michango yao.
Mimi ni Simba ...uko sahihi kabisa
Wawekezaji Wengi wapo wanasubiri aondoke Tu waingiehivi wewe unaionaje simba bila uwepo wa mo?
Wewe umewahi kutaka kuwekeza nini pale simba ukashindwa?.au unazungumzia ela za wenzako?Undugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Wawekezaji Wengi wapo wanasubiri aondoke Tu waingie
Brother taifa gas si ya rostam,mwenza wa kibiashara wa rostam ndo mwenza wa kibiashara na gsm(remote ipo msoga)
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Duh! sawa, yote sawa! sina cha kubishana hapa, mbaya zaidi me siasa siwezi.Huna hata ushahidi umebaki na hisia za kisiasa na kuchafuana.
Chawa huku ni michezo tuDP World wana sponsor sana michezo tofauti tofauti nchi nyingi. kwao wana sponsor mpaka Michezo ya fedha nyingi sana.
Nawaonea gere Yanga.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Usimpinge haji manara tafadhariNi Yanga tu ndiyo timu ya wananchi wenye akili
Kwann nipeleke wakati hawajatangaza tenda ya jezi. Hujataka kuelewa basi niishie hapo.We jamaa unaongea kama hushirikishi ubongo wako.
hivi wewe umewahi kupeleka matangazo yako pale simba wakagoma kukuwekea?
Kabla ya mo kuja, simba si ilikuwepo? Kwa nini hawakwenda kupeleka matangazo yao pale?
Timu ni za umma sawa hao wenye timu wanamchango gani kwenye timu? Manji aliwaachia timu yanga, uliona kilichotokea? Mambo mengine muwe na shukrani na sio kuleta ubishi usio na msingi.
Wewe siyo mdau wa michezo, huwezi kuelewa maana ya sponsorship kwenye nichezo.Chawa huku ni michezo tu
Duh saskuonekana kwa log ndio nn Wala hii siyo hoja kbsa ,ishu Ni undugulaizetioni ndani ya club hi kongwe kbsa baran africalogo yake ya vunja bei ilikua kubwa kuliko nembo ya club alafu akaihamisha kutoka chini had kuja Katikati ya kifua ili ionekane haraka
Kwann nipeleke wakati hawajatangaza tenda ya jezi. Hujataka kuelewa basi niishie hapo.
kapewa kazi kaishindwa mwenyewe kashindwa kuzalisha jezi kuendana na uhitaji, msimu mpya unaanza lakin mashabiki bado hawana jezi mpya, alaf bahati mbaya hadi mdhamini kashabadilishwa lakin mashabiki walishindwa kupata jez wakaendelea kuvaa za sportpesa.Duh saskuonekana kwa log ndio nn Wala hii siyo hoja kbsa ,ishu Ni undugulaizetioni ndani ya club hi kongwe kbsa baran africa
Hata m beti nayo ni ya moUndugu utatuua kwenye masuala muhimu, Simba SC kila nikiimgalia huwa nachoka. Nasema hivi sio kishabiki.
1. Mo Dewji, amepewa timu bila upingamizi au uuzwaji wa Hisa kwa kushindania na wawekezaji wengine. Hii ilipaswa kurekebishwa haraka kwa sababu hakuna muda Mo aliwahi ipatia Simba Pesa Bure, mara zote ametoa katika win win situation.
2. Usambazaji wa Jezi, kwa miaka na miaka ulikuwa chini ya Kaka/Baba yake kupitia Sunderland. Figisu nyingi amefanyiwa Vunja bei, ila ashindwe kusambaza kujustfy ndugu huyo kuwa alipaswa kupewa tenda. Na sasa amepewa tena ndugu wa Mo Dewji.
3. Africarries ni ya Ndugu wa Mo, nayo imeingia mkataba na Simba.
4. MO Foundation, MO Extra nk, hii inawanyima haki wafanyabiasha wengine kupewa nafasi ya kutangaza biashara au kupartner na hii timu.
5. Fatma Dewji, naye amepewa Simba Queen.
Pamoja na madhaifu ya Yanga ila angalau kwenye Mikataba ya Matangazo ipo kwa watu tofauti tofauti na wasio ma uhusiano wa kibiashara. GSM, TAIFA GAS, AFYA, SPORTPESA ni tofauti kabisa kidogo HIER yuko na uhusiano na GSM.
Kwa maendeleo ya Mpira wetu hili tulipige vita kwa nguvu zetu zote.
Yanga ina hazina kubwa sana ya wapumbavuNi Yanga tu ndiyo timu ya wananchi wenye akili
Hamkuwatukana SPORTPESA hapa?Ingekuwa Utopolo ingekuwa matusi, vijembe na kukashifiana. Sisi tunaachana salama
Hakuna mwekezaji hapa duniani anawekeza kutoa sandakalawe,, kila uwekezaji lazima mwekezaji awe na lengo la faida,,,,Hivi kabla mo hajajitokeza simba hao wawekezaji wengine walikuwa wapi kuichukua timu mpaka utake competition?
Yanga alipojitoa manji ilichukua muda gani kumpata gsm? Gsm wenyewe mama alisema hawabani means kwa kiasi kikubwa wapo pale kwa kimchongo tu.
Lesson: nchi yetu hawapo wawekezaji wa kutupa pesa kwenye mpira wakategemea faida so hao waliopo tuwashukuru sana. Au uliwahi peleka tangazo pale simba ukanyimwa?