Vunjabei kabweteka sana sijui na umaarufu au ulimbukeni anajua jezi Zina demand kubwa kwanini asisambaze maduka tofauti tofauti ili iwe rahisi I think ataftwe mtu aliye serious na kazi ya jeziNafikiri hana watalaamu wa supply chain and logistics, anaona kama kila mtu ni sagula-sagula. Imagine nilienda moja la duka lake kununua jezi zenye kola nikakuta hawana,lakini kila siku ana post anazo
Tumkabidhi timu awe mfadhili Mkuu, ni mzalendo mwenzetuNimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc
Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake
Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.
Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.
Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni thamani ya mkataba.
Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.
Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Ile kuuza nguo feki tu zile ilitakiwa kuwa ground ya kumnyima mkataba. Mtu anauza nguo ukifua tu ndani ya wiki haivaliki tena.Vunja bei ni mhuni tuu , kampuni nyingi za wazawa ni Tia maji Tia maji , tatizo ni kukosa professionalism na uroho wa kutaka Kula faida yote bila kuongeza kiasi ili kuboresha kwenye uwekezaji , mtu anayeuza malonya ya nguo mnampaje kandarasi ya mhimu kama Ile aisee
Kasema hawezi? Jezi watu wanapata we kama umekosa changamoto yake isiwe rungu la kumtoa barabarani jumlaAcha kutetea udhaifu bhana. Kama hawezi kwanini aombe tenda?
Kwani kuna tatizo gani Simba ikitangaza tenda ikapatikana kampuni yenye ufanisi
Itakuwa walimpendelea. Kwa kigezo cha experience ya miaka kadhaa Vunja Bei asingeshinda. Ana experience ya kuuza mitumba na moka sio jezi high qualityHiyo tenda aliyopata vunjabei haikutangazwa?
Itakuwa walimpendelea. Kwa kigezo cha experience ya miaka kadhaa Vunja Bei asingeshinda. Ana experience ya kuuza mitumba na moka sio jezi high quality
Kazi kwa uwezo wake,ndiyo!! Lakini uwezo wake mdogo. Hao viongozi walimpa design ya jezi?Msimlaumu kafanya kazi kwa uwezo wake. Viongozi mambumbumbu ndio tatizo.
Tunazungumzia ubora ndugu yangu. Huyo jamaa hawezi kuzalisha jezi bora. Wachezaji wakizivaa wanakuwa kama bush stars.Kasema hawezi? Jezi watu wanapata we kama umekosa changamoto yake isiwe rungu la kumtoa barabarani jumla
Hakuna anayeweza kukufurahisha milele
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Usimuamini mfanya biashara Mkinga kwa mambo yako serious. Hawa watu wana fedha za masharti. Hiyo mikwamo anayoifanyia Simba kama ucheweshaji wa jezi, kutoa quality mbaya na vingine vingi, siyo bure bali ni masharti ya utajiri wa Wakinga.Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc
Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake
Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.
Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.
Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni thamani ya mkataba.
Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.
Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Hivi yeye anadesign pia na kuprint ama anasambaza tu? Who controls quality ama ni ile dizain ya bongo ya tia maji tia maji vyote anakabidhiwa kandarasi mmoja huyo huyoLow quality, poor designs!