Vunja Bei anaunga-unga, Simba msimpe mkataba

Vunja Bei anaunga-unga, Simba msimpe mkataba

Nafikiri hana watalaamu wa supply chain and logistics, anaona kama kila mtu ni sagula-sagula. Imagine nilienda moja la duka lake kununua jezi zenye kola nikakuta hawana,lakini kila siku ana post anazo
Vunjabei kabweteka sana sijui na umaarufu au ulimbukeni anajua jezi Zina demand kubwa kwanini asisambaze maduka tofauti tofauti ili iwe rahisi I think ataftwe mtu aliye serious na kazi ya jezi
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni thamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Tumkabidhi timu awe mfadhili Mkuu, ni mzalendo mwenzetu
 
Vunja bei ni mhuni tuu , kampuni nyingi za wazawa ni Tia maji Tia maji , tatizo ni kukosa professionalism na uroho wa kutaka Kula faida yote bila kuongeza kiasi ili kuboresha kwenye uwekezaji , mtu anayeuza malonya ya nguo mnampaje kandarasi ya mhimu kama Ile aisee
Ile kuuza nguo feki tu zile ilitakiwa kuwa ground ya kumnyima mkataba. Mtu anauza nguo ukifua tu ndani ya wiki haivaliki tena.

Kimsingi jamaa ni fraudulent. Kuna kampuni ndogo zingepewa hii tenda zingefanya vema sana. Nyamaa alivurunda sana aisee alipopewa tenda ya jezi. Watu wanaenda na pesa zao wanakosa eti mzigo umeisha kama sio ufala ni nini sasa?!

Halafu watu wanapenda zile jezi nyeusi yeye akaenda kuprint kwa wingi zile za Manjano ambazo wateja hazijawavutia.

Halafu amekwenda tengeneza size kubwa tu hajui kuna teenagers wenye miili midogo na ndio wateja wa kuwauzia sana hao yeye kaenda tengeneza tshirts za miili ya vibonge wote.
 
Itakuwa walimpendelea. Kwa kigezo cha experience ya miaka kadhaa Vunja Bei asingeshinda. Ana experience ya kuuza mitumba na moka sio jezi high quality

Msimlaumu kafanya kazi kwa uwezo wake. Viongozi mambumbumbu ndio tatizo.
 
Kasema hawezi? Jezi watu wanapata we kama umekosa changamoto yake isiwe rungu la kumtoa barabarani jumla
Hakuna anayeweza kukufurahisha milele

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tunazungumzia ubora ndugu yangu. Huyo jamaa hawezi kuzalisha jezi bora. Wachezaji wakizivaa wanakuwa kama bush stars.
 
Jamaa apishe tu tenda ichukuliwe na wengine
Miaka 2 ya mkataba wake jezi ni low quality bado usambazaji wake hada kipindi cha msimu kukaribia kuanza huwa ni kero kabisaa
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni thamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Usimuamini mfanya biashara Mkinga kwa mambo yako serious. Hawa watu wana fedha za masharti. Hiyo mikwamo anayoifanyia Simba kama ucheweshaji wa jezi, kutoa quality mbaya na vingine vingi, siyo bure bali ni masharti ya utajiri wa Wakinga.

Mkinga hawezi kufanya biashara bila ushirikina. Naamini wenzangu wanatoka mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya wananielewa
 
Back
Top Bottom