Vunja Bei anaunga-unga, Simba msimpe mkataba

Vunja Bei anaunga-unga, Simba msimpe mkataba

Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni dhamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Vunja bei ni geresha tu tender ya kusambaza jezi MO ndio ameichukua. Tumlaumu MO na siyo vunja bei
 
Vunja bei ni mhuni tuu , kampuni nyingi za wazawa ni Tia maji Tia maji , tatizo ni kukosa professionalism na uroho wa kutaka Kula faida yote bila kuongeza kiasi ili kuboresha kwenye uwekezaji , mtu anayeuza malonya ya nguo mnampaje kandarasi ya mhimu kama Ile aisee
Umeongea kitaalam sana. Big up
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni dhamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Huu ni ukweli mweupe. Acheni kumtetea aaibike ndo ataacha kuchukua tenda.
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni dhamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Kwani kuna tatizo gani ukiendelea kuishabikia Simba ukiwa umevaa nguo zako za nyumbani?
Ili mradi wachezaji wamevaa jezi mimi naona haina shida.
 
Vunjabei ni from ile jamii inauza mitumba hapo Kariakoo, angekuwa anatokea wale weusi wenzetu walio na hisa kubwa DSE na wamiliki wa LTD nyingi hapa bongo asingekuwa anafanya kazi kienyeji.
Mkataba mnono wenye uhakika wa faida anasumbua vile
Haya ndio maneno sasa.
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni dhamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea

Fact, umeongea ukweli, there is something unique na creativity kwa Jezi za Yanga.

Jezi za simba kwa kifupi ni za hovyo na wala sio za hovyo kidogo, hazifai.
 
Binafsi jezi za Yanga pamoja na wengi kuzisifia sipendi kabisa design zake. Mimi ni mpenzi wa classic look ambayo timu nyingi za Ulaya bado wanatumia ambayo ni simple plain color ikiwa na mistari fulani sehemu ya jezi. Siyo mbaya kuwa na kit moja yenye maurembo mengi kwa ajili ya kutumika kwenye mechi zinazochezwa siku za sikukuu.

Kasoro ambazo ningezitoa katika jezi za sasa ni 3. Kwanza kuongeza wepesi wa material za kitambaa. Pili ni kupunguza size za logo kuanzia ya Simba na ya kit supplier (hizi zimekuwa kubwa mno). Tatu ni maandishi ya main sponsor, nadhani trend sasa hivi jezi nyingi za nje, maandishi ya main sponsor ni madogo sana kwa hiyo logo ya M-BET ipunguzwe sana ukubwa wake. Ukubwa wa maandishi haumaanishi kuwa unaongeza ushawishi kwa watu.
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni dhamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Mkuu sasa tuna offer ya Adidas
 
Ulitaka aperform kama UHL SPORT AU ADIDAS kana kwamba mtaji unalingana? Muda mwingine tupende kuwatia moyo watu wa ndani wanaopambana kuwa mabilionea wakubwa zaidi , roho ya chuki haitakusaidia kijana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Zipo timu za kujifunzia lakini sio Simba sc. Abaki Polisi Tz nk. Ajifunzie huko. Hata kwenye construction kuna miradi ya kukuza experience, huwezi kupewa Busisi Bridge from nowhere tu
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni dhamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Kuna ukweli hapa. Angalia namna vikaptula vinavyowashika wachezaji. Hata namna zilivyoshonwa ni kienyeji mno. Sijui haoni jezi na bukta za Azam au Namungo zinavyomwagika vizuri?
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni thamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
Kusema kweli kuna watu wengi wanahitaji jezi za quality za Simba lakini sio rahisi kuziona.
Ninawajua baadhi ya watu waliotoka huku mikoani walinunua jezi za yanga moja kwa sh elfu themanini( 80,000) kwa sababu ya quality.

Kuna watu fulani wajinga wanaona kutengeneza mijezi mingi mibovu ndio kuwajali wawapenzi wa Simba.Lakini ukweli ni bora jezi ziwe chache lakini za kiwango.

Hii nchi tupo wengi tu wenye uwezo wa kununua jezi ya elfu 60- laki.

Naunga mkono hoja,zabuni hii zipewe kampuni kubwa kwani wanunuzi tupo
 
Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc

Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda wa mkataba wake

Viwango vya jezi havilingani na ukubwa w Simba Sc. Tuwe wa kweli. Sitaki Kujilinganisha na Yanga lakini ukweli ni kwamba ubora wa jezi za Simba zinaingia mara 3 kwa kwa ubora wa Yanga.

Usambazaji wa jezi umekuwa tatizo ambalo amekosa kabisa mkakati wa utatuzi. Wote tunakumbuka msimu ulipoanza na hata usambazaji wa jezi za Championship.

Sina uhakika kama kweli hata kaweza kulipa hiyo bilioni mbili ambayo ni thamani ya mkataba.

Vunja Bei hana uwezo wa kufanya biashara na klabu kigogo kama Simba Sc. Kwa vile mkataba wake unaelekea kuisha, nashauri Bodi ifanye uwezekano wa kupata kampuni ya kimataifa.

Vunja Bei anatupa kazi ya kumtetea
WE UPO KUMBE!!1!
 
Huyo vunja Bei apumzishwe kwanza anatutesa mashabiki kuhangaika kugombania jezi kama vichaa
Nafikiri hana watalaamu wa supply chain and logistics, anaona kama kila mtu ni sagula-sagula. Imagine nilienda moja la duka lake kununua jezi zenye kola nikakuta hawana,lakini kila siku ana post anazo
 
Back
Top Bottom