Vunja Bei na Viongozi wa Simba akili zao ni sawa

Vunja Bei na Viongozi wa Simba akili zao ni sawa

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
TVISIT TANZANIA

Niliposomea graphics ndo inamaanisha hivyo, itakuwa elimu yangu mbovu. Watanzania tu ndo tunaelewa hii, na sisi sio walengwa wa tangazo hapo.

Tangazo Muhimu kama hili unakuja na front ya ajabu, hii inaonesha kabisa watu graphics wa Vunja bei ni wabovu kabisa Tvisit Tanzania maana yake ni nini?

Mbaya zaidi viongozi wameona ila wakashindwa kufanya maamuzi dah.

7A18D658-4977-46A2-8D2D-8653C4BD8900.jpeg
 
Hivi sijui Vunja bei aliwaza nini hadi akavunja na matangazo ya boss
Hizo ni Jezi kwaajili ya Club bingwa, wewe mbumbumbu.

Jezi za nyumbani zitaendelea kuwa na matangazo ya Mo Kama kawaida.

Halafu Utakuwa taahira sana kumtengenanisha Mo na Vunjabei kwenye suala la Jezi.

HAKUNA kitu chenye pesa au Maslahi kinafanyika Simba bila Mo kujua au kubaliki. Na ndio maana Kuna wake wake pale akiwemo CEO Barbara.
 
Hivi sijui Vunja bei aliwaza nini hadi akavunja na matangazo ya boss
Sababu METL hawajahusika kwenye kudhamini mashindano ya Kimataifa, wao wamewekeza kwenye ligi kuu pekee
 
Hizo ni Jezi kwaajili ya Club bingwa, wewe mbumbumbu.

Jezi za nyumbani zitaendelea kuwa na matangazo ya Mo Kama kawaida.

Halafu Utakuwa taahira sana kumtengenanisha Mo na Vunjabei kwenye suala la Jezi.

HAKUNA kitu chenye pesa au Maslahi kinafanyika Simba bila Mo kujua au kubaliki. Na ndio maana Kuna wake wake pale akiwemo CEO Barbara.
Mkuu umemaanisha nini kuniita mimi mbumbumbu? Kwamba ni mwanachama mwenzio wa timu yenu ya Rage fc ama.
 
TVISIT TANZANIA

Niliposomea graphics ndo inamaanisha hivyo, itakuwa elimu yangu mbovu. Watanzania tu ndo tunaelewa hii, na sisi sio walengwa wa tangazo hapo...
Kwanza karudia majezi Yale Yale hakuna ubunifu mpya alioweka
 
Front ndo nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aina za muonekano wa herufi/maneno
Kwa mfano 𝕞𝕦𝕔𝕙 𝕜𝕟𝕠𝕨,𝚖𝚞𝚌𝚑 𝚔𝚗𝚘𝚠,𝐦𝐮𝐜𝐡 𝐤𝐧𝐨𝐰,𝒎𝒖𝒄𝒉 𝒌𝒏𝒐𝒘,𝓂𝓊𝒸𝒽 𝓀𝓃ℴ𝓌,ᵐᵘᶜʰ ᵏⁿᵒʷ,Ⓜ︎Ⓤ︎Ⓒ︎Ⓗ︎ Ⓚ︎Ⓝ︎Ⓞ︎Ⓦ︎,𝔪𝔲𝔠𝔥 𝔨𝔫𝔬𝔴,𝖒𝖚𝖈𝖍 𝖐𝖓𝖔𝖜,爪ㄩ匚卄 Ҝ几ㄖ山, nk.
NB. Ila nadhni alimaanisha fonts..
 
Aina za muonekano wa herufi/maneno
Kwa mfano 𝕞𝕦𝕔𝕙 𝕜𝕟𝕠𝕨,𝚖𝚞𝚌𝚑 𝚔𝚗𝚘𝚠,𝐦𝐮𝐜𝐡 𝐤𝐧𝐨𝐰,𝒎𝒖𝒄𝒉 𝒌𝒏𝒐𝒘,𝓂𝓊𝒸𝒽 𝓀𝓃ℴ𝓌,ᵐᵘᶜʰ ᵏⁿᵒʷ,[emoji713]︎Ⓤ︎Ⓒ︎Ⓗ︎ Ⓚ︎Ⓝ︎Ⓞ︎Ⓦ︎,𝔪𝔲𝔠𝔥 𝔨𝔫𝔬𝔴,𝖒𝖚𝖈𝖍 𝖐𝖓𝖔𝖜,爪ㄩ匚卄 Ҝ几ㄖ山, nk.
NB. Ila nadhni alimaanisha fonts..
Ni fonts na sio fronts
 
TVISIT TANZANIA

Niliposomea graphics ndo inamaanisha hivyo, itakuwa elimu yangu mbovu. Watanzania tu ndo tunaelewa hii, na sisi sio walengwa wa tangazo hapo.Tangazo Muhimu kama hili unakuja na front ya ajabu,Hii inaonesha kabisa watu graphics wa Vunja bei ni wabovu kabisa Tvisit Tanzania maana yake ni nini? Mbaya zaidi viongozi wameona ila wakashindwa kufanya maamuzi dah
Hivi ndiyo vitu vya kukosoa sasa na at least ukaonekana mtu una akili siyo tu mtu kujisemea jezi mbaya au maneno mengine ya kejeli.

Nadhani hiyo Visit ingetakiwa isogee kulia na ianzie mstari wa juu wa T unapoishia. Hilo nakubaliana na wewe ila ungeweza sema hilo bila kukejeli watu. Jitahidi siku nyingine maana mtu anaweza kupuuza ushauri wako kwa sababu ya lugha unayotumia.

Font hiyo nadhani ni logo ya "Visit Tanzania" hauwezi kujibadilishia font ya logo unavyotaka.
 
Back
Top Bottom