Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Hivi sijui Vunja bei aliwaza nini hadi akavunja na matangazo ya bossCha muhimu uchafu wa Mo extra..na Mo takataka hakuna..
Naenda nunua jezi hizi fast
Hizo ni Jezi kwaajili ya Club bingwa, wewe mbumbumbu.Hivi sijui Vunja bei aliwaza nini hadi akavunja na matangazo ya boss
Kafanya sahihiHivi sijui Vunja bei aliwaza nini hadi akavunja na matangazo ya boss
Sababu METL hawajahusika kwenye kudhamini mashindano ya Kimataifa, wao wamewekeza kwenye ligi kuu pekeeHivi sijui Vunja bei aliwaza nini hadi akavunja na matangazo ya boss
Mkuu umemaanisha nini kuniita mimi mbumbumbu? Kwamba ni mwanachama mwenzio wa timu yenu ya Rage fc ama.Hizo ni Jezi kwaajili ya Club bingwa, wewe mbumbumbu.
Jezi za nyumbani zitaendelea kuwa na matangazo ya Mo Kama kawaida.
Halafu Utakuwa taahira sana kumtengenanisha Mo na Vunjabei kwenye suala la Jezi.
HAKUNA kitu chenye pesa au Maslahi kinafanyika Simba bila Mo kujua au kubaliki. Na ndio maana Kuna wake wake pale akiwemo CEO Barbara.
HahahahaCha muhimu uchafu wa Mo extra..na Mo takataka hakuna..
Naenda nunua jezi hizi fast
Umejiongeza au?Travel and Visit Tanzania.
Vipi na nyinyi mlioshupaza shingo kwenye ile nembo ya CAF iliyowekwa na Yanga kwenye tangazo lao?Yanga ukiwaona kama wapo serious vile kumbe wanakamilisha ratiba tu wamebaki kuponda tu kila kitu cha simba.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kwanza karudia majezi Yale Yale hakuna ubunifu mpya aliowekaTVISIT TANZANIA
Niliposomea graphics ndo inamaanisha hivyo, itakuwa elimu yangu mbovu. Watanzania tu ndo tunaelewa hii, na sisi sio walengwa wa tangazo hapo...
Lakini Yanga wakisema Sportpesa hausiki katika mashindano ya kimataifa mnakuja na makala za kutoshaSababu METL hawajahusika kwenye kudhamini mashindano ya Kimataifa, wao wamewekeza kwenye ligi kuu pekee
Aina za muonekano wa herufi/maneno
Ni fonts na sio frontsAina za muonekano wa herufi/maneno
Kwa mfano ๐๐ฆ๐๐ ๐๐๐ ๐จ,๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ,๐ฆ๐ฎ๐๐ก ๐ค๐ง๐จ๐ฐ,๐๐๐๐ ๐๐๐๐,๐๐๐ธ๐ฝ ๐๐โด๐,แตแตแถสฐ แตโฟแตสท,[emoji713]๏ธโ๏ธโธ๏ธโฝ๏ธ โ๏ธโ๏ธโ๏ธโ๏ธ,๐ช๐ฒ๐ ๐ฅ ๐จ๐ซ๐ฌ๐ด,๐๐๐๐ ๐๐๐๐,็ชใฉๅๅ าๅ ใๅฑฑ, nk.
NB. Ila nadhni alimaanisha fonts..
Hivi ndiyo vitu vya kukosoa sasa na at least ukaonekana mtu una akili siyo tu mtu kujisemea jezi mbaya au maneno mengine ya kejeli.TVISIT TANZANIA
Niliposomea graphics ndo inamaanisha hivyo, itakuwa elimu yangu mbovu. Watanzania tu ndo tunaelewa hii, na sisi sio walengwa wa tangazo hapo.Tangazo Muhimu kama hili unakuja na front ya ajabu,Hii inaonesha kabisa watu graphics wa Vunja bei ni wabovu kabisa Tvisit Tanzania maana yake ni nini? Mbaya zaidi viongozi wameona ila wakashindwa kufanya maamuzi dah