Vunjeni benchi zima la ufundi Taifa Stars

Vunjeni benchi zima la ufundi Taifa Stars

Na siasa zipungue kwenye mpira wetu. Wanasiasa hasa wakubwa wanapenda sana sifa za kijinga kupitia soka!

We angalia hata mzee wa msoga alikuwa anafanya nini cha maana kiwanjani kama siyo kutaka sifa tu endapo timu itashinda!
watu kuwa uwanjani sio shida,hoja kubwa ni mpango upi wa kuijenga timu ya taifa?
je tuna makocha wenye elimunna ujuzi wa kuijenga timu ya taifa?
 
Mama hajamteua morocco,na wala mama hafurahii timu kufungwa
Katika kero 23 za muungano alizozitatua Samia moja wapo ya masharti ktk shirikisho la mpira TFF ni kwamba pesa zinazotolewa na FIFA lazima ziende Zanzibar na pia kwa upande wa watumishi wa TFF lazima wawepo wazazibar.
 
Katika kero 23 za muungano alizozitatua Samia moja wapo ya masharti ktk shirikisho la mpira TFF ni kwamba pesa zinazotolewa na FIFA lazima ziende Zanzibar na pia kwa upande wa watumishi wa TFF lazima wawepo wazazibar.
hata kama ndio hivyo hailazimishi mtu kuwa kocha kama hana vigezo,na huyo kocha kaletwa na watu wapo tff ambao wanagawana nae mshahara
 
Naibu waziri anaomba radhi rais na zaid anamshukuru [emoji23][emoji23]dah jaman mpira hatuwez labda simba na yanga ndio wanaweza sababu kuna advantage ya kua na wachezaj wa mataifa mbalimbali tofaut na hapo tanzania inatakiwa ikae miaka 10 ikijipanga.
 
karia kajaza wahuni wake na marafiki awezi vunja simba failures wapo pale. kocha hata ligi yamchangani apawei timu anakuwa kocha wa taifa stars umeisha ona wapi
 
Benchi zima la ufundi la taifa stars halifai, huyo Hemedi Morroco kuongea kwenyewe shida atawafundisha nini wachezaji?

Ana uzoefu upi wa kufundisha timu ya taifa, huyo ni kocha wa level ya geita gold, fukuzeni wote na muajiri makocha wenye uwezo
Kabisa kabisa, jana baada ya mechi alikuwa hawezi hata kuongea, jasho linamtoka mpaka kimasava.... huyo kocha au ni wa Fumba FC Mjini Magharibi....nyambafu.
 
Back
Top Bottom