Vurugu kubwa zazuka bunge la Kenya

Vurugu kubwa zazuka bunge la Kenya

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Spika inaonesha dhahiri bunge limemshinda, wabunge wanazomea tu!!

source; Citizen Tv





Wabunge wa Kenya wametofautiana vikali bunge na kuvuana mashati huku wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswaada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya.

Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 badala ya kujadili mswada tatanishi kuhusu usalama wa nchi. Kikao cha leo kilikuwa kikao maalum ambacho kilipaswa kupitisha mswada huo ambao baadaye utaidhinishwa na Rais kuwa sheria.

Wabunge wa upinzani wlaipinga mswada huo na kuanza kurusha karatasi sakafuni huku wakitatiza shughuli bungeni humo.
141218101518_kenya_bunge__512x288_bbc_nocredit.jpg

Seneta Johnston Muthama alijipata pabaya kwnai long;i yake iliraruliwa katika mvutano bungeni humo

Mwenyekiti wa kamati ya usalama wa bunge, Bwana Asman Kamama, alijaribu kuyaja mabadiliko yaliyopendekezwa kufanyiwa mswada huo lakini wabunge walianza kuimba na kumzomea spika wa bunge wakiukataa mswada huo wakisema 'bado mapambano.'

Spika wa bunge Justin Muturi wakati mmoja alimuru walinzi wa bunge kuwaondoa baadhi ya viongozi waliofika bungeni humo kwa mjhadala ambao ulitarajiwa kuwa kaa moto, hasa kw aupande wa upinzani.

Mswada huo ambao umewasilishwa bunge kufuatia matukio ya utovu wa usalama na mashambulizi nchini Kenya, unapendekeza kuwa washukiwaw augaidi wanaweza kuzuiliwa kwa mwaka mmoja huku polisi wakifanya uchunguzi.
141218102025_muthama__512x288_bbc_nocredit.jpg

Seneta Muthama pia alijeruhiwa vibaya mguuni

Mapendekezo ya mswada huo ni kwamba mshukiwa wa ugaidi anaweza kuzuiliwa kwa siku 360 kutoka siku 90 za awali.

Pia ikiwa mswada huo utapistihwa kuwa sheria, mashirika ya habari yatatozwa faini ya hadili shilingi milioni 5 kwa kuchapisha taarifa au picha ambazo zinaleta hofu na kusababisha taharuki.

Mswada huu umetolewa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa Al Shabaab wakilalamika na kutaka wanajeshi wa Kenya kuondolewa Somalia
Rais Kenyatta amekuwa akikabiliwa na shinikzo kuimarisha usalama wa tangui mashambulizi ya Septemba mwaka 2013 katika jengo la maduka ya kifahari la Westgate mjini Nairobi ambapo watu 67 waliuawa.

Chanzo:BBC
Disorder in Parliament as most members throng the floor of the House as debate on Security Bill goes on.
attachment.php

Askari wakilinda amani bungeni

Hapa chini ni maoni ya baadhi ya watu mbalimbali wa Kenya
attachment.php

attachment.php

attachment.php

HOUSE RESUMES DEBATE ON SECURITY BILL

The National Assembly resumed its special sitting Thursday afternoon amid disagreements among members.
House Speaker Justin Muturi said that the House sitting is a special one and the business to be considered was only what was gazetted.

The National Assembly adjourned twice after chaos erupted during a debate on the security Bill on Thursday.

Speaker Justin Muturi adjourned the sitting for 30 minutes, but the commotion continued when MPs resumed at 11.35am.

The Speaker was forced to adjourn the House again and said the the sitting would resume at 2.30pm.

The mace was under heavy security guard and was taken out of the House through a back door.

Journalists were barred from the press gallery and live broadcasting of proceedings were discontinued.

There were reports that senators Boni Khalwale, Moses Wetang'ula, Johnson Muthama and James Orengo were assaulted as they were being ejected from the Speaker's gallery.

The MPs opposed to the Bill chanted and threw papers on the floor, disrupting the session.

Cord MPs protest outside the National Assembly on December 18, 2014 over the controversial security Bill.

Mr Asman Kamama, the chairman of the Administration and National Security Committee, had attempted to move amendments, but MPs opposed to the Bill started chanting "no way" and "bado mapambano".

Speaker Muturi at one point ordered the serjeant-at-arms to eject some senators who were at his gallery.

"Serjeant-at-arms, I direct that members in the Speaker's gallery be ejected forthwith." He was referring to senators Khalwale, Wetang'ula and Orengo.

MPs had been recalled from their Christmas break to debate three issues: approve or disapprove the nominee for Cabinet secretary for the Interior Ministry Joseph Nkaissery; debate the final stage of the Security Laws (Amendment) Bill of 2014; and approve or reject the four nominees to the CDF Board.

DEMANDS OVERRULED

When the session started, MPs from the opposition Coalition for Reform and Democracy (Cord) demanded that it be delayed to allow "us to familiarise ourselves" with the amendments in the Order Paper.

Gem MP Jakoyo Midiwo and his Ruaraka counterpart Tom Kajwang' asked Speaker Muturi to give them more time to go through suggested changes to a number of laws related to national security.

However, they were overruled, with Mr Muturi insisting they should have read the laws long before they came to the floor of the House.

"Honourable Midiwo, I know you to be an experienced, diligent member of the House. Why are you not reading the Order Paper?" the Speaker posed.

The Speaker then ruled that the session move to the committee of the whole House, a period during debate when proposed amendments are voted on.

The chairperson of that committee, Joyce Laboso, had to shout six times to a number of opposition MPs to take their seats.

TIGHT SECURITY

The mace, the National Assembly's symbol for power and whose absence on the floor crippled debates, was kept under tight security.

This is after some MPs tried to grab the mace last week when opposition lawmakers tried to stop the second reading of the Bill.

When Tiati MP Asman Kamama stood to propose the deletion of clause 2B of the Bill, he was shouted down by the opposition.

But Ms Laboso allowed the vote to continue, although the voices of supporters of the Bill was drowned out by the jeers from opposition MPs.

Speaker Muturi returned to try to normalise the situation but had to adjourn as the session became more chaotic.
================

15:11 - Speaker rules that the House is properly constituted. He rules that the motion to extend the sitting until the Security Laws (Amendment) Bill has been passed be removed from the Order Paper.

15:20 - House moves to a committee of the whole House amid noise from opposition members.

Speaker says the House will be on recess until Monday, January 26, 2015.

15:23 - Speaker orders Suba MP John Mbadi out of the House after water is sprinkled on Deputy Speaker Joyce Laboso and other Clerks at the table.

15:30 - An hour after the afternoon sitting started, there has been no progress.

"Order, even as mapambano goes on," the Speaker implores.

15:34 - Speaker asks members to resume their seats. Apparently the Committee of the whole House will have to adjourn for a while as the Speaker seeks to restore order.

15:36 - Speaker reorganises House business to allow members to continue consulting.

15:41 - Leader of Majority Aden Duale having hard time addressing the House. He asks for direction from the Speaker.

15:48 - Nominated MP Johnson Sakaja takes the floor. He urges for sobriety in the House.

Opposition members shouting "Duale must go."

15:49 - Mr Sakaja urges Jubilee colleagues to listen to the views from the Opposition.

He urges the speaker to take action on members of both sides showing disrespect to the House.

15:54 - Leader of Majority Aden Duale takes the floor amid reduced noise in the House.

"Give us a window as leaders and we can talk and we agree or agree to disagree," says Sakaja.

16:00 - Leader of Minority Francis Nyenze rises to support Gen Nkaissery's appointment.

The House is now debating the nomination of Major Gen (Rtd) Joseph Nkaissery as the Cabinet Secretary for Interior and Coordination of National Government.

16:48 - Chaos as House reverts to the Committee of the Whole House to debate the Security Laws Bill.

House approves the appointment of Gen Nkaissery as Interior CS.

16:10 - Nandi Hills MP Alfred Keter stands on a point of order requesting the speaker to ask the mover of the motion to respond.
 
Last edited by a moderator:
Spika wa bunge la Kenya amelazimika kuliahirisha bunge baada ya kutokea mabishano makali yaliyopelekea wabunge wa upinzani kurusha makaratasi. Hayo yametokea wakati wa kujadili jina la mteule wa kushika nafasi ya waziri wa mambo ya ndani. Nafasi iliyoachwa wazi baada ya kujiuzulu kwa Joseph Ole Lenku
 
Aisee nimeona hiyo kupitia KTN.. Na Spika aliahirisha kwa nusu saa kikao cha bunge.. Kilichonifurahisha sikuona mipasho toka upande wa pili wala wabunge kukata viuno kama wale wa kwetu..
 
aisee nimeona hiyo kupitia ktn.. Na spika aliahirisha kwa nusu saa kikao cha bunge.. Kilichonifurahisha sikuona mipasho toka upande wa pili wala wabunge kukata viuno kama wale wa kwetu..

hilo la viuno litakuwa lako na mkeo
 
Mswada ambao unajidiliwa tata kweli unagusa haki za msingi ambazo katiba mpya ya Kenya inazilinda.
 
Uzuri wa katiba ya Kenya ni kuwa waziri yeyote au nafasi yeyote ya kitaifa lazima ijadiliwe bungeni
 
kumbe sio kwetu tu? ila huko nafikiri ni wakora zaidi kwetu wapole
 
Opposition Kenya ni ngangari..mswada umefanyiwa marekebisho lakini bado unahitajika marekebisho zaidi, ukipita bungeni lazima ngumi ziwe zimetokea kidogo, niko nje ya bunge askari wapo wengi kutudhibiti sisi waandamanaji lakini hawatatueza. Kesi kortini kama wataupitisha huo mswada
 
Yote hayo ya kupitisha majina ya wateule wanaopendekezwa na rais yalikuwa kwenye rasimu ya katiba ya mh. Warioba lakini kwa umbumbumbu wa wenye kupendwa kubebwa wakafutilia mbali kwa kisingizio cha rais hawezi kumteua kilaza.
Kwetu sisi uelewa bado mdogo sana hasa wafuasi wa ccm. Jaribu kutafiti kidogo tu aina ya wateule wa rais walivyo mizigo na mbumbumbu. Yaani hawaelewi lolote juu ya uongozi bora japo wana madigrii mengi. Mfano mzuri ni wateule wote wanaohusishwa na scandal zote zilizowahi kutokea hapa nchini. Si wabunifu zaidi ya kuwa makada wa ccm eti yatosha kumpa nafasi ya kuongoza taasisi au wizara. Bravo watu wa Kenya, mpo mbali.
 
Afadjali wenzetu huwa wanathubutu hata kuzipiga, hawa wakwetu wanaogopana sana.
 
Back
Top Bottom