Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
- Thread starter
-
- #141
Mimi sio mtoto kama wewe, sio mpelekeshwaji kama ww, sio mshindani kama wewe, sina bangi za lyamungo kama hata miaka 12 iliyopitastupid lyamungo akuna aliyekufa ww ulisimuliwa nn?
HahaMimi sio mtoto kama wewe, sio mpelekeshwaji kama ww, sio mshindani kama wewe, sina bangi za lyamungo kama hata miaka 12 iliyopita
Aliyezungushiwa nyaya alifariki ..na viongoz walienda msiba.
Si unataka kushindana na roho ya mauti, endelea kubisha. Reply chochote unachotaka bumunda ww.
ah sio poa, mama sasa alivyokua analia, dogo alikua anaitwa Ayubu, mama aliletwa na defender ya magereza Karanga, gari lipo speed imewasha taa, ametua tuu pale mama ni mayowe, "uuwih mwanangu Ayubu, mbona wenzako waliweza kukimbia, tuseme wewe ndo ulishindwa kukimbia kati ya hawa wote?" hapo tupo Parade tunamsikiliza RPC na mkuu wa wilaya, huku ugeni wa waziri wa elimu ukiwa njiani.Hii imenisisimua, walikua zaidi ya magaidi haki
Wewe ni kichaa, malaya wa vurugu, na bado una ushindani wa kitoto kama vile bwana yako ndie aliekufa siku ile.Haha
Acha kulialia na kuleta hisia kama mtoto wa kike, thus is manhood mwanaume lazma uwe na dark side katika ukuwaji wako (from boys to men) na kikubwa nikujua jinsi ya kuji control mwenyewe mbeleni, huwezi ukaishi ki slope tu kama demu eti tukio lililotokea 12 yrs ago liku hunt hadi leo, bro upo serious?
Nyie hamkuwa na umoja mkakimbia na kumuacha mwenzenu, nae alifanya mistake ilo cost maisha yake kutotii matakwa katika himaya ya watu unachotakiwa kukubali ni kwamba Lyamungo walifanye self defense
Na hiyo kusema kuna mtu alikufa lymungo halafu hakuna hata jina lake wala makumbusho take kama ilivyo kwa Ayubu ni stori za nyie kwa nyie kujifariji
tulia mzeeWewe ni kichaa, malaya wa vurugu, na bado una ushindani wa kitoto kama vile bwana yako ndie aliekufa siku ile.
After 12 years hakuna ulichobadilika, umebakia bangi kichwani za uboizini, sawa nahisia kama demu ..lakin ambae ana hisia kama zangu baada ya miaka 12 juu ya vile vifo basi atakuwa ni mtu mzima na mwenye humanity.
Lakini kwa mjinga kama ww unamdhihaki ayubu eti kisa ni upande wetu basi inaonesha ni jinsi gani ulivyoshetani na bado maisha yako yamejawa na ukatili.
Miaka 12 baadae mtu mzima kama mimi nifeki death ili nipate tuzo gani humu, ili historia ibadilike.
Unaandika utumbo kama huu bila kufikiria upande mwingine hata wa familia ya ayubu, unasifia ujinga tulioufanya miaka hio, alafu unadhania wewe uko mentally fit..wewe leo unafamilia alafu unaona mwanao aameuliwa alafu unasoma coment ya utumbo kama wako
Acha usenge. Mbona humsemi huyo aliekufa na waya wa fensi shingoni.Haikuwa May ilikua Tarehe 21&22 August. R.I.P Ayubu Talaka.
Hapana nasikia yule jamaa alikuwa ni form five huko umbwe hivyo wakati wa mapigano alikuwa amejificha kwenye nyumba ya mwalimu kwa bahati mbaya alikuwa amevaa sweta na suruali ya umbwe si unajua tena form fiveLakini waliokosea ni umbwe kuwafata lyamungo ilhali wangetulia sidhanj kama yangetokea hayo kwa jamaa. Kilichomuua jamaa ni kubaki kuendelea kuharibu mali.
Madame bora?Ahaa haaa ulishindwa mtiti. Dah yule madam alikuwa mweupe kama mzungu. Sijui alifikiria nini kuja kufundisha uboyzini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana unasoma sana biblia mkuuUjumbe wa kinabii uliwajia kupitia mama aliyekuwa anapalilia shamba lake lakini enyi watu wa mataifa mkapuuza na mkaenenda na njia mliyokusudia ikawaelekeza kwenye tanuru la moto.
Wewe nae hebu punguza basi hizo ashki za udemu demu... Unakera aisee.Wewe ni kichaa, malaya wa vurugu, na bado una ushindani wa kitoto kama vile bwana yako ndie aliekufa siku ile.
After 12 years hakuna ulichobadilika, umebakia bangi kichwani za uboizini, sawa nahisia kama demu ..lakin ambae ana hisia kama zangu baada ya miaka 12 juu ya vile vifo basi atakuwa ni mtu mzima na mwenye humanity.
Lakini kwa mjinga kama ww unamdhihaki ayubu eti kisa ni upande wetu basi inaonesha ni jinsi gani ulivyoshetani na bado maisha yako yamejawa na ukatili.
Miaka 12 baadae mtu mzima kama mimi nifeki death ili nipate tuzo gani humu, ili historia ibadilike.
Unaandika utumbo kama huu bila kufikiria upande mwingine hata wa familia ya ayubu, unasifia ujinga tulioufanya miaka hio, alafu unadhania wewe uko mentally fit..wewe leo unafamilia alafu unaona mwanao aameuliwa alafu unasoma coment ya utumbo kama wako
Sawa mama kimbo.Wewe nae hebu punguza basi hizo ashki za udemu demu... Unakera aisee.
Be like a man dude.
hawakufukuzwa walisimamishwa tu, wakarudishwa baadaLyamungo walishawahi kuleta noma shuleni kwao kisa wamepikiwa ugali siku ya wali viongozi wa vurugu wakafukuzwa kisa wali
[emoji19][emoji22][emoji22]Kijana wa umbwe aliyeuliwa alikua anaitwa Ayubu
Hadi Leo Kuna kitanda chake kikiwa kimetandikwa vizuri na vitu vyake baadhi vilevile, Kama sehem ya historia ya kumuenzi