Vurugu ya ubomoaji wa jengo la shule ya sekondari chumvi iliyopo Uvinza

Vurugu ya ubomoaji wa jengo la shule ya sekondari chumvi iliyopo Uvinza

Rusumo one

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
3,458
Reaction score
4,283
IMG-20230105-WA0001.jpg
 
Naona picha ya BOMA, vurugu Gani tena
 
Mimi ni Chadema kindaki ndaki ila kwa hiki wanachofanya kanisa la RC hakipo sawa kundi la watu wanaosadikiwa kuwa ni waumoni wa Rc wamevamia jengo hilo usiku mkubwa na kufanya uharibifu namna hiyo. Tupaze sauti tunaua elimu tunajenga bifu za kipuuzi. Serikali iingilie kati hili suala maana ipo siku watoto wetu watauliwa wakiwa madarasani au mabwenini. Hili halipo sawa.
 
Yaani mtoa mada anahisi wote tupo huko uvinza na tunajua kinachoendelea.
 
Weka nyama kidogo mwalimu..nini chanzo na nani kabomoa, hatua gani zimechukuliwa na serikali maana hii ni kumtekenya mama Samia ili hali halali na apumziki kwao zanzibar ili watoto wapate madarasa.
 
Hapo kuna kiwanja cha kanisa katoliki na mahakama nadhani ilithibitisha sasa hao shule ya ccm waliamriwa kuhama nadhani sasa walipoanza kujenga tena ndio vurugu zimezuka, wanajenga vipi wakati wanatakiwa kuhama kisheria,
 
Mimi ni Chadema kindaki ndaki ila kwa hiki wanachofanya kanisa la RC hakipo sawa kundi la watu wanaosadikiwa kuwa ni waumoni wa Rc wamevamia jengo hilo usiku mkubwa na kufanya uharibifu namna hiyo. Tupaze sauti tunaua elimu tunajenga bifu za kipuuzi. Serikali iingilie kati hili suala maana ipo siku watoto wetu watauliwa wakiwa madarasani au mabwenini. Hili halipo sawa.
Chadema inahusikaje kwenye hili?

Elezea historia ya mgogoro husika tupate picha kamili.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Mimi ni Chadema kindaki ndaki ila kwa hiki wanachofanya kanisa la RC hakipo sawa kundi la watu wanaosadikiwa kuwa ni waumoni wa Rc wamevamia jengo hilo usiku mkubwa na kufanya uharibifu namna hiyo. Tupaze sauti tunaua elimu tunajenga bifu za kipuuzi. Serikali iingilie kati hili suala maana ipo siku watoto wetu watauliwa wakiwa madarasani au mabwenini. Hili halipo sawa.
Usitumie shule kutaka kuhalalisha uovu wa CCM kwenye hiyo ardhi
 
Back
Top Bottom