- Mkuu ninaongozwa na hoja humu JF, na hasa masilahi ya taifa hisia sio masialhi ya taifa na haipo hapa JF, nowhere! Kinachokushinda ni kujenga hoja on uhalisi wa vurugu za kisiasa Tanzania ambazo hazipo, unachozungumzia ni small scale isolated political ishus, ambazo ni based na ukabila na udini, ambalo sio tatizo la taifa letu in general, hii sio hisia ni a true political analysis inayojali facts on the ground, haiwezi kuwa hisia.
- Hoja yako ni kwamba kwa sababu wananchi 27, waliuliwa under Mkapa, some few years ago, basi turudishe utawala wa chama kimoja, ninasema hivi hii hoja ni mufilisi na ni empty!
- Mkuu JF, pamoja na kutoa ushauri mwingi wa kisiasa kwa watawala na vyama vyetu vya siasa, pia tunayarisha viongozi hapa mkuu, watu ambao wakipewa madaraka, hawatasita kutoa maamuzi magumu kwa ajili ya the best interest of our nation, hata kama maamuzi hayo yatapelekea kupoteza maisha ya baadhi ya wananchi wetu, na kwa maneno yako mwenyewe ni clear kwamba huwezi kushika nafasi kubwa ya uongozi kwa taifa, maana unaogopa kufa kwa wananchi, unaogopa kifo ndio maana maviongozi magoi goi wanatumia hiyo fear ya kukutisha kwamba kwa sababu kulitokesa vifo 27 miaka ya nyuma basi turudi kwenye chama kimoja, na wewe unaamini kwamba ni a good idea mpaka unaileta hapa JF, amuka mkuu!
- Mkuu sitetei mauaji ila ninatetea kwa nguvu zangu zote the means necessary za kutufikisha taifa kwenye next level, kama vinahitajika some few vifo vya wananchi for the good of my nation, sijali kuwa mmojawapo wa hao watakaochaguliwa kutangulia kwenye haki, ninaiipinga hoja yako ya msingi, ya kurudia matapishi yetu ya utawala wa chama kimoja kwa sababu tu ya vifo 27, over wananchi Millioni 40, hiyo ninasema ni hoja hafifu sana na ni batili.
Respect.
FMEs!