macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wanaoingia shoo kama hizi ni hawa wachovu wachovu kutoka Afrika wanaofanya vibarua vya hapa na pale. Tofauti na hao hakuna mtu anayemjua sembuse kwenda sehemu kama hizo.Hapa itakuwa Nigeria, Uingereza gani sioni mzungu hata mmoja?
Ahaa!!! nimekuelewa ndio maana kumbe ni wale wabeba mabox? ndio maana hata kaukumbi kapo kama karakana fulani. Kumbe ubaguzi bado upo ulaya yaani ngozi nyeupe hata moja???Wanaoingia shoo kama hizi ni hawa wachovu wachovu kutoka Afrika wanaofanya vibarua vya hapa na pale. Tofauti na hao hakuna mtu anayemjua sembuse kwenda sehemu kama hizo.
Mkuu hapo issue siyo ubaguzi. Hapo issue ni kuwa Diamond hajafahamiki Ulaya! Wanaomfahamu ni hii type ya waafrika niliyokueleza. Otherwise kuna wanamuziki ma-black wengi ni maarufu na wanapiga sehemu maarufu.Ahaa!!! nimekuelewa ndio maana kumbe ni wale wabeba mabox? ndio maana hata kaukumbi kapo kama karakana fulani. Kumbe ubaguzi bado upo ulaya yaani ngozi nyeupe hata moja???
Husikii hiyo ''pegion english'' ya mi-west afrika inayoongea kama ina ugali mdomoni?
Sababu kubwa iliyo nyuma ya maendeleo duni ya Muafrika..!Wanaoingia shoo kama hizi ni hawa wachovu wachovu kutoka Afrika wanaofanya vibarua vya hapa na pale. Tofauti na hao hakuna mtu anayemjua sembuse kwenda sehemu kama hizo.
At least yeye anafahamika hata na hao wachovu wa Ulaya kutoka Afrika, wewe jaribu kuandaa show mtaani kwenu uone kama hata hao wachovu wa uswazi utawapata zaidi ya mumewakoWanaoingia shoo kama hizi ni hawa wachovu wachovu kutoka Afrika wanaofanya vibarua vya hapa na pale. Tofauti na hao hakuna mtu anayemjua sembuse kwenda sehemu kama hizo.
NdioShow hiyo ndiyo analipwa 50,000$?
1. Mimi siyo mwanamziki na wala sipendi kabisa kuwa mwanamziki hivyo hakuna siku nitaandaa show mtaani kwetu.At least yeye anafahamika hata na hao wachovu wa Ulaya kutoka Afrika, wewe jaribu kuandaa show mtaani kwenu uone kama hata hao wachovu wa uswazi utawapata zaidi ya mumewako
[emoji3] [emoji3] kama ina ugali mdomoni duuu!Unafikiri ni ''wenye London'' wanahudhuria huu uchafu? Husikii hiyo ''pegion english'' ya mi-west afrika inayoongea kama ina ugali mdomoni? Shoo kama hizi wanaingia wachovu wachovu kutoka Africa.