pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Unaifahamu "ban"? Usipoedit huu utumbo, utashughulikiwa.Watanzania ni maiti mkuu...
Kunyoosha kwa kuwapiga risasi mmoja mmoja au?Huu upumbavu ndio watu wanauita democracy, Asante Tanzania kwa kunyoosha watu wanayo discipline huwezi kukuta huu upuuzi.
Sasa jichanganyeWatanzania ni maiti mkuu, wanapelekeshwa kama misukule ya ulanga huo ni upuuzi wa karne.
Njoo unijambie na hilo kalio lako pichaniKajambe kule
Mkuu vurugu zilikuwa zimeanza lakini zikadhibitiwa mapema
Mmmh jamani mtachafua hali ya hewaNjoo unijambie na hilo kalio lako pichani
Wetu ni watu wasiojulikana, ila ni wanyama wanaojulikanaPolisi wa Kenya ni anti raia kuliko Askari wetu!
As Tanzania is!Kenya is full of shit!
Hahahaha wampeleke marekani hahahahaWamuondoe Lisu wetu huko mapema wasije wakamuunganisha
sizani kama itatokea... kitu kimoja kilicho tokea wakati wa zile kesi za kina uhuru, ni kuwa mambo ya wakenya yatatatuliwa na kwa kuzingatia katiba na sheria za wakenya... hivyo kenda nje kushitakiwa ni uvunjaji wa katiba ya wakenya...atakae lianzisha atafufua ya nyuma..kushitakiwa
Fatou Bom Bensouda
Kilichowaokoa ni mashahidi kukwepa kwenda kutoa ushahidi....!!sizani kama itatokea... kitu kimoja kilicho tokea wakati wa zile kesi za kina uhuru, ni kuwa mambo ya wakenya yatatatuliwa na kwa kuzingatia katiba na sheria za wakenya... hivyo kenda nje kushitakiwa ni uvunjaji wa katiba ya wakenya...
hiki kipengere ndio kizingiti kikubwa cha huko ICC... kwa wakati huu labda wakati mwingine...
hapo si kenya.Sasa jichanganye