pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Wafuasi wa NASA wenye akili timamu natumai wako makini sana, huyu baba yao na maandamano yake ya kila uchao haina faida yeyote kwa Kenya. Kesho yake wataandamana, kisa tu chang'aa imepanda bei.