MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,502
- 1,886
Ni muda mrefu sasa sijamsikia huyu mzee VUTA-NKUVUTE jamani yuko wapi? Au na yeye ameamua kujiuzulu kuandika habari humu ili kumuunga mkono Rais. Maana kumekuwa na wimbi la watu kuachia nafasi zao kws kigezo cha kumuunga mkono Rais!
Mzee uko wapi? Au na yeye ni miongoni mwa watu wsliopotezwa/waliookotwa ufukweni?
Tafadhali popote ulipo naomba ujitokezee!
Mzee Tupa tupa wa Lumumba.
Mzee uko wapi? Au na yeye ni miongoni mwa watu wsliopotezwa/waliookotwa ufukweni?
Tafadhali popote ulipo naomba ujitokezee!
Mzee Tupa tupa wa Lumumba.