Vuvuzela

inaelekea ukishakula na kunywa lazima ujinyonge look at the noose on the left
 
na hiyo kamba ni ya nini hapo mlangoni
 
Mh! mbona siioni au unaipuliza hapo ngoja nitege sikio labda ntaisikia.
 
inaelekea ukishakula na kunywa lazima ujinyonge look at the noose on the left

ni pahali pangu pa business jamani au sitapata wateja? hiyo kamba sio ya kujinyongea ni ukarabati unamalizika tu.
 
ni pahali pangu pa business jamani au sitapata wateja? hiyo kamba sio ya kujinyongea ni ukarabati unamalizika tu.

Huuuuuuu,Afadhali umesema tulikuwa na wasiwasi ile mbaya, naomba uiondoe ili siku ya ufunguzi usike ukapata kesi bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…