VVD amekosa Ballon d'Or kwa upumbavu wake

Messi sidhani , labda vvd au mbappe , ukitaka kujua hao jamaa wananominate majina ni wahuni , hawataji hata siku moja vigezo vinavyotumika kumchagua mchezaji
 


Mswahili katika ubora wake wa kupinga na kujiona anajuwa kuliko wapiga kura 😂😂😂

Kijana, unaelewa maana ya individual performances? Je, vigezo hivyo anavyo huyo msenegali wako?
 
Hata hao waliompa messi ni chaguo lao , maana uwa hawataji vigezo wanavyotumia kumchagua mchezaji
Ni chaguo lao binafsi lakini ni wengi,professionals na wanazingatia kila kinachostahili kulinda credibility.
Kama majority ya super coaches na wachezaji(international stars) wameona anastahili basi wengi wape.
Wapo wanaoona hastahili(you're one of them) either kwa mtazamo wao au kwa sababu za kiushabiki lakini ni haki yao kuwa na mtazamo tofauti.
All in all mimi ni mmoja ya wanaoona anastahili na kwakuwa amepata hiyo tuzo historia itamkumbuka na records hizitafutika.
Ila namba moja,mbili na tatu wote wanastahili pongezi lakini hapa huwa ni 'the winner gets it all'.
Mengine nadhani uache uvivu uwe una'Google ili upate taarifa kamili za yanayojiri jinsi mshindi wa tuzo anavyopatikana.
 
Vvd na yondani uchezaji wao ni sawa sawa tofauti yao ni rangi tuu
 
Mswahili katika ubora wake wa kupinga na kujiona anajuwa kuliko wapiga kura 😂😂😂

Kijana, unaelewa maana ya individual performances? Je, vigezo hivyo anavyo huyo msenegali wako?
Kila mtu ana individual performance, vitaje vigezo vilivyotumika kumchagua ,
 
Mbona kuna baadhi ya wachezaji na makocha wanalalamika kura zao kwenda kwa Messi ingawa wao hawakumchagua yy ?
 
Mbona kuna baadhi ya wachezaji na makocha wanalalamika kura zao kwenda kwa Messi ingawa wao hawakumchagua yy ?
Hearsay za kwenye mitandao hizo, valid votes haziwezi kupotea na kukiwa na figisu lazima investigations zipite na ikigundulika wahusika lazima mahakamani watafika.
Kama rais wa FIFA(the previous one/Michael Platini) alikula kibano cha mahakama hivyo ujue hakuna ambaye ni untouchable katika ulimwengu wa soka.
Hearsays na stori za vijiweni uwe makini navyo.
 
Hivi unafikiri corporates ambazo ziko kwenye NYSE zinaweza kuhonga tu kirahisi.

Hivi unavyohonga hapa bongo unafikiri na kwa wenzetu ni rahisi hivyo.
 
Hivi unafikiri corporates ambazo ziko kwenye NYSE zinaweza kuhonga tu kirahisi.

Hivi unavyohonga hapa bongo unafikiri na kwa wenzetu ni rahisi hivyo.
Hivi arthur & Andersen hawakuonga au kuhongwa ?
 
Au ile ya Ribbery alipopewa Ronaldo
 
Ushawahi kuona mtu mmoja kwenye ligi anakuwa mfungaji bora afu huyo anakuwa anakuwa na pasi za magoli nyingi kuliko wenzie kwenye ligi!!, afu huyohuyo anakuwa mfungaji bora katika ligi zote ulaya! Afu na bado huyohuyo anakuwa mfungaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya!
Kila mtu ana individual performance, vitaje vigezo vilivyotumika kumchagua ,
 
Kwani huyo VVD kwa lipi hasa apate hiyo tuzo?? Liverpool kubeba UCL moja tu?? Mbona Lucas Varane kabeba UCL tatu plus WC hakupata?? What about Sergio Ramos?? Watu wanatokwa mipovu ya kishamba sana kuhusu huyu jamaa which is not right
Ukiona hivyo yeye kaona hakustahili, acha povu. Mwenyewe kakataa kuwa mnafki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…