VVU ukimwi hugundulika muda gani?

VVU ukimwi hugundulika muda gani?

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,472
JAMANIE, Tulikuwa tunabishana hapa kuna mtu kashupalia ati ukilala na mwenye ngoma, wiki mbili tu zinatosha ukipima utaona virusi, wengine wanasema hadi miezi mitatu. kwa wale wataalamu, hivi tangu mtu aambukizwe ngoma, anaweza kukaa muda gani akawa kwenye mazingira ambayo akipima damu yake virusi vitaonekana? miezi mitatu au kweli ni wiki mbili. just curious.
 
Uhakika miezi mitatu!


JAMANIE, Tulikuwa tunabishana hapa kuna mtu kashupalia ati ukilala na mwenye ngoma, wiki mbili tu zinatosha ukipima utaona virusi, wengine wanasema hadi miezi mitatu. kwa wale wataalamu, hivi tangu mtu aambukizwe ngoma, anaweza kukaa muda gani akawa kwenye mazingira ambayo akipima damu yake virusi vitaonekana? miezi mitatu au kweli ni wiki mbili. just curious.
 
Subiria miezi mitatu mkuu, na wala usihofu sana, nina imani hujaambukizwa.
 
Lazima wewe utakuwa umeambukiZwa.
Usimtie hofu mwenzio bhana, mwenyewe nilichochora na mwenye VVU bila kinga lakini sikuambukizwa, kwa hiyo jamaa nae anaweza akawa hajaambukizwa lakini asirudie tena kufanya bila kinga.
 
Kwa uhakika zaidi miezi mi3

Inategemea na test inayofanya...kama ni test za kupima antibodies mfano Determine basi inaanza kuonyesha maambukizi kwa uhakika baada ya miezi 3 tangu uambukizwe, maana hapo mwili unakuwa umeshatengeneza antibodies za kutosha kuwa detected kwenye damu.

Lakini kuna tests ambazo zinaweza kudetect maambukizi hata baada ya few days, to be certain baada ya wiki hivi. Hizi ni zike test zinacheck viral copies kabisa na sio kucheck antibodies...mfano PCRs..
 
Mbona madokta wanasema kipimo cha determine ni wiki 2 tu? Au inakuaje.
 
Determine inadetect infection within 30 days,kama umepata non reactive rudia baada ya miezi 3.,kwa unigold hii ni within 25 days
 
Back
Top Bottom