Vyakula 7 vyenye Faida kwa Ubongo na Akili yako!

Vyakula 7 vyenye Faida kwa Ubongo na Akili yako!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Vyakula 7 vyenye Faida kwa Ubongo na Akili yako!

Zabibu:

Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.


attachment.php




Samaki


Husaidia kuongeza uwezo wa Ubongo katika mawasiliano.
attachment.php


Kahawa:

Hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.
attachment.php



Chokleti (Chocolate):

Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
attachment.php



Mtindi (Maziwa Mgando):

Huongeza Vitamini B12, ambayo husaidia kuzuia Ubongo Kusinyaa.

attachment.php


Mboga za Kijani / Majani:

Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kukumbuka mambo.

attachment.php



Karanga au Korosho:

Huongeza Vitamini E, ambayo hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.

attachment.php



attachment.php
 

Attachments

  • chokoleti.jpg
    chokoleti.jpg
    11.8 KB · Views: 1,807
  • green+vegetables+2.jpg
    green+vegetables+2.jpg
    79.7 KB · Views: 1,825
  • karanga.jpg
    karanga.jpg
    141.2 KB · Views: 1,842
  • zabibu.jpg
    zabibu.jpg
    11.8 KB · Views: 1,840
  • korosho.jpg
    korosho.jpg
    21.8 KB · Views: 1,836
  • kahawa.jpeg
    kahawa.jpeg
    6.4 KB · Views: 1,799
  • MTINDI.jpg
    MTINDI.jpg
    2.9 KB · Views: 2,413
  • Samaki.jpg
    Samaki.jpg
    36 KB · Views: 1,852
Kuhusu karanga/korosho nakubaliana na MziziMkavu kwa sababu kuna kitu inaitwa almond nayo inasifika kwa kuboresha ubongo.

Mananasi nayo niliona mahali yanasaidia uwezo wa kukumbuka.

Kuhusu kahawa........itabidi nikapitie upya hadidu rejea
 
Last edited by a moderator:
Kumbe zabibu inasaidiakuongeza akili ? asante Mzizi kwa kunifundisha maana siku nyingi nilikuwa najiuliza mbona Mapandri wanaakili nyingi sana ? Leo nimepata jibu ni kwa sababu ya kunywa divai kila siku inayotengenezwa na zabibu
 
Nimeelewa vitu vingi kupitia mambo hayo ya umuhimu kwangu na Jamii nzima kwa ujumla

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom