Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Vyakula 7 vyenye Faida kwa Ubongo na Akili yako!
Zabibu:
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
Samaki
Husaidia kuongeza uwezo wa Ubongo katika mawasiliano.
Kahawa:
Hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.
Chokleti (Chocolate):
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
Mtindi (Maziwa Mgando):
Huongeza Vitamini B12, ambayo husaidia kuzuia Ubongo Kusinyaa.
Mboga za Kijani / Majani:
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kukumbuka mambo.
Karanga au Korosho:
Huongeza Vitamini E, ambayo hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.
Zabibu:
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
Samaki
Husaidia kuongeza uwezo wa Ubongo katika mawasiliano.
Kahawa:
Hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.
Chokleti (Chocolate):
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
Mtindi (Maziwa Mgando):
Huongeza Vitamini B12, ambayo husaidia kuzuia Ubongo Kusinyaa.
Mboga za Kijani / Majani:
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kukumbuka mambo.
Karanga au Korosho:
Huongeza Vitamini E, ambayo hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.