Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe una tako gani? Na unataka tako gani?Sijaelewa
tigo 4gTumia mtandao pendwa,Acha kuvaa chupi
😄😄😄😄😄Kama ni mwanamke epuka kufanya kaz ngumu sana kama kukimbia umbalu mrefu,kulima( epuka kaz zinazofanya ukaze misuli ya makalio)
Kama n mwanaume haina haja ya kulainisha makalio!
Mbona waguna bibieDuuh!
Uzi huu ndio chanzo.Mbona waguna bibie
Hahaaa umefafanua vizuriKikubwa asifanye kazi ngumu kama vile kuchota maji kwenye visima,kutembea kwa miguu muda mrefu e.t.c kwa kifupi kazi ngumu kwa mwanamke husababisha chura inakuwa ngumu kama kuni!
Mpe salam zangu huyo mamaetu mdogoPaka Korie ya kutosha then uwe una TWERK kama robo saa hivi..
Utaleta mrejesho
Raha ya mwanamama lazima kalio liwe soft kama la mamaenu mdogo hapa. Sio ukigusa kalio kama umegusa Nanasi.
Mpe salam zangu huyo mamaetu mdogo
Kikubwa asifanye kazi ngumu kama vile kuchota maji kwenye visima,kutembea kwa miguu muda mrefu e.t.c kwa kifupi kazi ngumu kwa mwanamke husababisha chura inakuwa ngumu kama kuni!
Unataka kuyapeleka kwenye maonyesho ya Sabasaba?