Vyakula vinavyoongeza nguvu na akili katika ubongo wa mwanadamu

Vyakula vinavyoongeza nguvu na akili katika ubongo wa mwanadamu

hayo mazoezi ya viungo huwa yanakaangwa au yanachemshwa au yanaliwa hivihivi??
Hahahaaa!, Kwanza unayakaanga halafu yabanike kisha yaanike juani miaka 7, baada ya hapo yako tayari kuliwa, usisahau kuyatafuna pamoja na chumvi ya mawe!.
 
Binafsi mafuta ya zeituni na maparachichi nayatumia sana, naweza sema niko adicted nayo kwa kweli.

Nguvu ya ubongo sio kula tu.. Unaweza kula kila kitu still ukawa bongolala pia.. There is more than just food..!!
 
Samaki na ndizi bukoba ndizo ndizi wahaya, zinaleta sana akili Alafu ule kichwa cha ngege, mboju ,mputa, na mamba, alafu weka maziwa hataree

Mbona hizo akili hazijabadili mandhari ya huko Bukoba?
Ujuaji Na Mbwembwe Za Wahaya haziendani Na hadhi ya Mji wao
 
Nguvu ya ubongo sio kula tu.. Unaweza kula kila kitu still ukawa bongolala pia.. There is more than just food..!!
Kwani nani kasema anakula kwa sababu ya kupata akili? Nimeanza kuvitumia kitambo tu kwa sababu za faida zake kiafya mbali na mambo hayo ya afya ya akili. Haya mengine nimeyafahamu kupitia bandiko hili.
 
Samaki na ndizi bukoba ndizo ndizi wahaya, zinaleta sana akili Alafu ule kichwa cha ngege, mboju ,mputa, na mamba, alafu weka maziwa hataree
sionagi mchango wenu zaidi ya sifa za kijinga, ujuaji mwingi lkn hamna kitu kabisa
 
Umesema korosho vip kuhusu wamakonde au unavyotaja maparachichi ulishawai kuish na wanyakyusa??
Usitupandishie matunda bei mkuu,
 
Vipi na akili zimo zimo au Jamaa kaleta chai bila sukari..........🤭🤭🤭(natania Mkuu)
😀😀😀😀😀😀
Mkuu zimo zimo kiasi chake maana mtaani kwetu wananiita aristotle😀😀😀. Ila mimi natumia kwa sababu za kiafya hayo mengine ndo nayaona kwenye huu uzi japo nilikuwa nasikiasikia tu.
 
😀😀😀😀😀😀
Mkuu zimo zimo kiasi chake maana mtaani kwetu wananiita aristotle😀😀😀. Ila mimi natumia kwa sababu za kiafya hayo mengine ndo nayaona kwenye huu uzi japo nilikuwa nasikiasikia tu.
Pamoja sana Mkuu
 
Hah hah hah Mkuu umenifanya nikumbuke wanaume wa Dar na mihogo mibichi zaidi ya nguruwe.

Tikiti maji ndo usiseme.




Umesema korosho vip kuhusu wamakonde au unavyotaja maparachichi ulishawai kuish na wanyakyusa??
Usitupandishie matunda bei mkuu,
 
Duh, wandugu kuna ambaye anaweza kutupa mrejesho?
 
Nyongeza ... zoezi la kujizungusha kwenye mhimili (mchezo huu hupenda sana watoto) - hili zoezi linafanya akili zifanye kazi kwa kiwango cha hali ya juu sana.
 
Dah...kula bamia kwa wingi hata mbichi....Kisha tumia Nguvu zako zote kuepuka ugali....ugali ndiyo Adui Mkubwa wa bara la Africa [emoji2960]
 
Back
Top Bottom